Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,162
- 162,594
Gazeti la Mwannchi la leo Disemba 30,2017, limeandika au kwa lugha nyingine limenukuu tweet ya jana ya Waziri wa Muungano na Mazingira, bwana January Makamba.
Tweet husika inasomeka:
"Uongozi ni koti la kuazima.Kuna wakati utarudisha tu.Kama ulikuwa unawakoga nalo watu,likirudi unaadhirika."
Makamba amekiri kuwa hiyo tweet ni yake baada ya kuulizwa na gazeti la mwananchi.
My take:
Mwisho wa siku kila mtu mtumuona adui au mpiga dili kumbe maadui na wapiga dili ni nyinyi wenyewe na kikundi chenu cha watu wachache.
Tweet husika inasomeka:
"Uongozi ni koti la kuazima.Kuna wakati utarudisha tu.Kama ulikuwa unawakoga nalo watu,likirudi unaadhirika."
Makamba amekiri kuwa hiyo tweet ni yake baada ya kuulizwa na gazeti la mwananchi.
My take:
Mwisho wa siku kila mtu mtumuona adui au mpiga dili kumbe maadui na wapiga dili ni nyinyi wenyewe na kikundi chenu cha watu wachache.