Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za Tanzania nafikiri utakubaliana nami nitakachokisema.
Kitendo cha hivi karibuni cha Makamba kukimbilia upesi upesi kwenye tukio la mauaji ya Maswa na kusema anauhakika Shibuda amehusika ni cha kusikitisha sana.
Vilevile kitendo chake cha kufika Maswa na kumtembelea mgombea CCM na kumwacha wa Chadema Shibuda aliyekuwa anashikiliwa pia na polisi akiwa mahabusu zinadhihilisha kuwa Makamba ana siasa za fitina ugomvi na kisasi na bado ana fikra za kuona upinzani ni uadui.
Inawezekana kabisa maneno yanayosikika mitaani kuwa matukio mbalimbali ya vurugu za kisiasa yanayotokea sehemu mbalimbali (Arusha, Moshi, Tarime, Musoma, Mwanza, Busanda nk) huwa yamepangwa au kupewa baraka na Makamba, na inawezekana kabisa hata tukio la Maswa lilipangwa na Makamba ili kumchafua Shibuda mpango ambao umeshindwa kufanikiwa.
Niko tayari kusahihishwa.
Kitendo cha hivi karibuni cha Makamba kukimbilia upesi upesi kwenye tukio la mauaji ya Maswa na kusema anauhakika Shibuda amehusika ni cha kusikitisha sana.
Vilevile kitendo chake cha kufika Maswa na kumtembelea mgombea CCM na kumwacha wa Chadema Shibuda aliyekuwa anashikiliwa pia na polisi akiwa mahabusu zinadhihilisha kuwa Makamba ana siasa za fitina ugomvi na kisasi na bado ana fikra za kuona upinzani ni uadui.
Inawezekana kabisa maneno yanayosikika mitaani kuwa matukio mbalimbali ya vurugu za kisiasa yanayotokea sehemu mbalimbali (Arusha, Moshi, Tarime, Musoma, Mwanza, Busanda nk) huwa yamepangwa au kupewa baraka na Makamba, na inawezekana kabisa hata tukio la Maswa lilipangwa na Makamba ili kumchafua Shibuda mpango ambao umeshindwa kufanikiwa.
Niko tayari kusahihishwa.