aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Hivi Mo ndio kaumwa moja kwa moja?? hiyo sura( facial expresion).....ill looking.
Kuna kitu alifanyiwa huyu si bure.!Hivi Mo ndio kaumwa moja kwa moja?? hiyo sura( facial expresion).....ill looking.
tena kitu kikubwa sana.
Hivi siro bado anaaandaa filamu ya mo
Angalia goli la pili baada ya kupatikana reaction yake utagundua alikuwa anawaza mil 500 aliyoahidiNamuona Mo yupo attention kweli kweli..sjui alibet
Kakaa kwa machale sana maana kuna jamaa hapo hana imani nae kabisaNamuona Mo yupo attention kweli kweli..sjui alibet