LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
Makamba anafanya kazi kwa maelekezo maalumu toka kwa mwenyekiti wake Kikwete na marafiki zake Lowasa na Rostam. He is just a kikaragosi, wasimlaumu..
By the way wanalalamika sasa kwani hawakuona tangu mwanzo kuwa Makamba ni kilaza? Huu ndio unafiki wa wanasiasa wa Afrika. Uwezo wa kiongozi kuongoza unahojiwa pale anapogusa maslahi binafsi ya mtu..
Sasa mzee wa vinywaji,
Hivi tukisema au kuianzisha hii Issue kuwa kubwa na kuwa huyu mzee alilipitisha au kubadilisha mapendekezo ya Bilal kwa NEC ili yawe in favor of his Son January Makamba atabisha huyo Yusuph Makamba mwenyewe??
Katibu Mkuu antaka kusaha kuwa waliwawajibisha makatibu wa wilaya ya Bukombe na kuhamishwa immediately the same night pale wagombea waliposema hawana imani na katibu wa wilaya na pia ndicho kilicho tokea kwa Mr. Mzuri pale DODOMA na kutupwa Morogoro na kushushwa cheo kwa kumsaidia KIMBISA na ndilo lilikuwa kosa lake kwani familia ya mzuri iliweka wazi wazi mjini dodoma kuwa inamsaidia kimbisa kwani watoto wa mzuri mpaka baba yao ameamishwa wao walikuwa wanaendelea msaidia kimbisa kampeni wilaya ya dodoma mjini, kila kukicha wakishida vijijini esp Hombolo.
Sasa leo makamba anasahau kusimamia katiba na mashauri yaliyopendekezwa na kuvuruga uchaguzi wa kura za maoni kwanini wana CCM wasi gome kwa hilo au kumsurubu Katibu wao Mkuu Mr.Y.Makambaaaaa?
Wakimng'oa itakua busara kuu....Jamaa huwa hafikiri kabla ya kuongea.......