Sasa mzee wa vinywaji,
Hivi tukisema au kuianzisha hii Issue kuwa kubwa na kuwa huyu mzee alilipitisha au kubadilisha mapendekezo ya Bilal kwa NEC ili yawe in favor of his Son January Makamba atabisha huyo Yusuph Makamba mwenyewe??
Katibu Mkuu antaka kusaha kuwa waliwawajibisha makatibu wa wilaya ya Bukombe na kuhamishwa immediately the same night pale wagombea waliposema hawana imani na katibu wa wilaya na pia ndicho kilicho tokea kwa Mr. Mzuri pale DODOMA na kutupwa Morogoro na kushushwa cheo kwa kumsaidia KIMBISA na ndilo lilikuwa kosa lake kwani familia ya mzuri iliweka wazi wazi mjini dodoma kuwa inamsaidia kimbisa kwani watoto wa mzuri mpaka baba yao ameamishwa wao walikuwa wanaendelea msaidia kimbisa kampeni wilaya ya dodoma mjini, kila kukicha wakishida vijijini esp Hombolo.
Sasa leo makamba anasahau kusimamia katiba na mashauri yaliyopendekezwa na kuvuruga uchaguzi wa kura za maoni kwanini wana CCM wasi gome kwa hilo au kumsurubu Katibu wao Mkuu Mr.Y.Makambaaaaa?