Ccm vyuoni kama kawa tupoo tumejaaa kama nini. Mtabaki na hayo majungu but ukweli ndiyo huooo.
hahaaa nyie vijana wa nchimbi na komba hamjielewi, endeleeni kulala hizo hostel za UDOM pindi mtakapoamka mtajikuta mpo utupu wa mnyama. endeleeni kutumika kama TP hapo udom. kachukue 7up yako.