Wait a second, Huyu mwekezaji aliuziwa hizi hisa asilimia 35 bila ya yeye kulipa fedha za mauzo ya hisa hadi leo hii. Mbaya zaidi alitumia resources za TTCL kwa miaka nenda rudi kwa manufaa yake binafsi.
Je, huyu mwekezaji alilipa fedha alizotakiwa kulipa ili kumilikishwa asilimia 35 ya TTCL?Kama alilipa, Serikali inaweza kutueleza amelipa lini,na kupitia valuation gani?
kama hayo hayakufanyika,Kwa nini serikali implipe huyu mwekezaji hewa fedha za hisa alizopewa bila kuzilipa?Na kama wamefanya hivyo wamelipa kwa huyu mwekezaji kiasi gani?
TTCL tumeambiwa ina negative equity, kwa nini kampuni yenye negative equity itoe pesa kumlipa mbia ambaye ni sehemu na sababu ya hiyo negative equity(provided alilipia hisa zake).
Something is not right here.
I sincerely hope Makamba was misquoted.