Wait a second, Huyu mwekezaji aliuziwa hizi hisa asilimia 35 bila ya yeye kulipa fedha za mauzo ya hisa hadi leo hii. Mbaya zaidi alitumia resources za TTCL kwa miaka nenda rudi kwa manufaa yake binafsi.
Je, huyu mwekezaji alilipa fedha alizotakiwa kulipa ili kumilikishwa asilimia 35 ya TTCL?Kama alilipa, Serikali inaweza kutueleza amelipa lini,na kupitia valuation gani?
kama hayo hayakufanyika,Kwa nini serikali implipe huyu mwekezaji hewa fedha za hisa alizopewa bila kuzilipa?Na kama wamefanya hivyo wamelipa kwa huyu mwekezaji kiasi gani?
TTCL tumeambiwa ina negative equity, kwa nini kampuni yenye negative equity itoe pesa kumlipa mbia ambaye ni sehemu na sababu ya hiyo negative equity(provided alilipia hisa zake).
Something is not right here.
I sincerely hope Makamba was misquoted.
Fuatilia report ya PAC ina kila kitu. Shirika linadaiwa zaidi ya Bilioni 100. Hivyo serikali imelichukua deni ili ilipe. Na muda huo huo wanaingia mkataba wa kumkabidhi mchina shirika.Sijawahi kumsifia January Makamba, I have to do anyway,
Waziri January Makamba analiambia Bunge hivi sasa kuwa TTCL sasa imerejeshwa kwenye mikono ya Umma baada ya serikali kununua hisa zilizokuwa zikimilikiwa na mwekezaji Airtel (35%). Nadhani ni jambo jema sana!
Umewahi sana - uta-regret.Sijawahi kumsifia January Makamba, I have to do anyway,
january makamba ni waziri wa nini?
mawasiliano na teknolojia
Kuna ufisadi hapa,hizo hisa 35% lilikuwa dili la watu na wamejilipa kuzirudisha serikalini.
Haiwezekani mtu afilisi shirika na hakulipa thamani ya hisa husika na alipwe tena, huu ni wizi na ufisadi. Kelele za umma zimepelekea mafisadi waliokuwa wananeemeka na TTCL kujifanya wanarudisha hisa kumbe ni ufisadi. Hili halikubaliki hapa kuna ufisadi mkubwa.....naombeni muangalie hadi vile viwanja vya TTCL vilivyogaiwa kwa familia ya mkapa virudishwe na mali za ubinafsishaji zirudi serikalini
Ndugu nani kakuambia shirika limefilisika kabisa, kufilisika maana yake you are no longer fit for business and whatever you do can longer produce benefit sidhani kama wako hapo, hata kwa sasa issue ni mapato yao hayana uwezo wa kulipa madeni lakini wana faida ndogo, ina maana with proper restructuring and a change of business plan things could change so far ni wazembe tu.Kuna ufisadi hapa,hizo hisa 35% lilikuwa dili la watu na wamejilipa kuzirudisha serikalini.Haiwezekani mtu afilisi shirika na hakulipa thamani ya hisa husika na alipwe tena, huu ni wizi na ufisadi. Kelele za umma zimepelekea mafisadi waliokuwa wananeemeka na TTCL kujifanya wanarudisha hisa kumbe ni ufisadi. Hili halikubaliki hapa kuna ufisadi mkubwa.....naombeni muangalie hadi vile viwanja vya TTCL vilivyogaiwa kwa familia ya mkapa virudishwe na mali za ubinafsishaji zirudi serikalini
Fuatilia report ya PAC ina kila kitu. Shirika linadaiwa zaidi ya Bilioni 100. Hivyo serikali imelichukua deni ili ilipe. Na muda huo huo wanaingia mkataba wa kumkabidhi mchina shirika.
Bongo kila kukicha ni majanga tu
Ndugu nani kakuambia shirika limefilisika kabisa, kufilisika maana yake you are no longer fit for business and whatever you do can longer produce benefit sidhani kama wako hapo, hata kwa sasa issue ni mapato yao hayana uwezo wa kulipa madeni lakini wana faida ndogo, ina maana with proper restructuring and a change of business plan things could change so far ni wazembe tu.
Kudaiwa billioni miatatu aina maana huko kwenye negative equity and you can not get out of the lion den, unless labda unaangalia upande wa liability kwenye balance sheet and you escape the book value of the company and existing business. Jamaa wana-monopoly ya land line and a potential to tap and increase business on mobile connection, what is the market value of cellphone industry and how much TTCL could grab of that business annually plus all other potential business opportunities walizo nazo mbona deni ambalo linalipika.
Well unaweza kuwa na muono tofauti ndio maana ya mijadala lakini lazima uangalie mambo kutokana na existing business environment ndio uweze kusema kama kweli hii kampuni imefilisika na uoni watatoka vipi? for me so far its just luck of creativity na kwa madai yao tatizo ilikuwa ni hela ya kuweza kuongeza mikakati ya kibiashara, wamepewa tuwaone sasa watafanya nini.
Hivi uoni hata hiyo contradiction kwenye post yako?Ndugu, kilichopo mbele yetu siyo "proper restructuring and business plan" bali ni kwa nini kama serikali tununue shares ambazo anayetuuzia hakuzilipia (tulizitoa bure) na tuendelee kukenua meno kwa furaha????? No no no no !!! Ngoja tudai chetu tukipata tutakupa shirika ulifanyie restructuring halafu proper business plan !!!
Hilo ni jambo jema na neema kwa watanzania kwani lina maslahi kwa umma.
Una ugonjwa wa kukosa uzalendo. Umegeuko mtumwa wa kisaikolojia. Badirika kuwa mzalendo na wachukie watanzania vibaraka wa kuuwa mashirika ya Umma kwa kujinufaisha wao wenyewe.natamani muwekezaji achukue jumla hili shirika, TANESCO, BOT etc.