Makamanda wetu CHADEMA, waache hao wengine huko waendelee 'KUDHARAU MWIBA' juu ya sheria ya uundwaji wa Katiba ya nchi kwa njia ya kumhodhisha Rais Kikwete madaraka sio yake, mambo kujipa kabla ya hawa watemi wa dharau na mzaha kushtukia 'miguu yao kuota matende' juu ya mpango mzima wanaokimbizana nao kwenye vikorido vya kule Magogoni hivi sasa.
Maslahi ya Umma mbeeele kama tai ili MAFISADI wote nchini waje wausikie vema utamu wa KUDIRIKI KUMPOKONYA MWANANCHI MADARAKA YAKE HALALI KI-KATIBA KUJITUNGIA KATIBA AKIWA USHUKANI.