wanafundisha kwani wao ni walimu?basi wafungue shule kabisa tujue moja.
Majibu
1.kama watayapitisha hayo basi cdm tutaandamana kwiyo kwa sasa tunatumia diplomasia ila ikishindikana tutaandamana
R.mtema
Mimi ni mkatoriki ila kusema maandamano sio suluhisho la haya kwaili siungani kabisa na viongozi wangu wa dini walioanza kutumiwa na ccm