Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,282
- 13,712
Makamanda Shimboni!
Nawauliza Mmefikia wapi maandalizi ya D25? Baada ya think tank yenu Mange kuwaacha kwenye Mataa?
Hakika mnatapatapa kweli kweli hamna uelekeo na jinsi kulivyo huku nje sioni mkifanikiwa.
Na vipi kuhusu Habil na Kabili alisema ata hack mifumo ya bank na TRA amefikia wapi? Najua nyumbu wengi hamuwezi kumuuliza kwa sababu aliwashika akili sana wakati ule sasa hivi kuna. Dada mmoja naye kaibuka ameshawateka tena.
Amani kwanza jamani tusilete vurugu Tanzania ni nchi yetu sote mbe
Huku kimenuka naona watu wengi wako road hawataki kusubiri D25 😁😁😁
Nawauliza Mmefikia wapi maandalizi ya D25? Baada ya think tank yenu Mange kuwaacha kwenye Mataa?
Hakika mnatapatapa kweli kweli hamna uelekeo na jinsi kulivyo huku nje sioni mkifanikiwa.
Na vipi kuhusu Habil na Kabili alisema ata hack mifumo ya bank na TRA amefikia wapi? Najua nyumbu wengi hamuwezi kumuuliza kwa sababu aliwashika akili sana wakati ule sasa hivi kuna. Dada mmoja naye kaibuka ameshawateka tena.
Amani kwanza jamani tusilete vurugu Tanzania ni nchi yetu sote mbe
Huku kimenuka naona watu wengi wako road hawataki kusubiri D25 😁😁😁