Makamanda huu ni muda muafaka kuwaomba radhi Prof Lipumba na Dr Slaa,. Mbowe ndio wa kulaumiwa

ipo siku utakufa

Senior Member
Dec 8, 2016
146
529
Ni muda muafaka sasa makamanda kuwaomba radhi Lipumba na Slaa.Mwerevu akivuliwa nguo huchutama na ni hakika Lowassa amewavua nguo makamanda.

Kipindi Lowassa amekatwa na kamati kuu ya CCM akakimbilia chadema na obviously inajulikana Lowassa ni power Monger atafanya chochote kile ili atimize adhma yake ya ukwaa urais tokea 1995 inajulikana hivyo.

Hakuna aliyekataa Lowassa kwenda ukawa na Chadema ila kumsimamisha Lowassa agombee urais kupitia tiketi ya ukawa walio wachache werevu walipinga wakiwemo Dr Slaa,Prof Lipumba na wanachama wachache wasiofuata mkumbo na wenye msimamo,Lowassa aliondoka ccm sababu alikatwa amejiunga Ukawa sio kama mkosoaji bali kujaribisha zari lake na akawatumia ukawa na ukawa wakatumika kweli


Prof Lipumba na DR Slaa walivyojiengua makamanda waliwakebehi viongozi hawa na Kuwaita wasaliti ,wachumia Tumbo ,na majina mengine ya kebehi kama Dr Mihogo ,propesa nakadhalika

Hebu tujiulize

What if Lowassa asingesimamishwa kuwa mgombea urais kupitia ukawa je Prof Lipumba na Dr Slaa wangejiondoa ?100% wasingerudi nyuma na naomba nikumbushe Prof Lipumba na Dr Slaa wana historia ya kuwa wapinzani kweli ,radical na kukosoa sana na wamepata kashikashi sana ,Lowassa tokea Uchaguzi uishe wapi kaonyesha sura halisi ya kuwa mpinzani ? Lipumba na Slaa walikuwa wanasimama na kusema

Nadhani rangi halisi ya Lowassa mnaanza kuiona ,Prof Lipumba na Dr Slaa waliyaona haya kitambo kuwa Lowassa ni opportunistic hakujiunga ukawa sababu ya mapenzi bali baada ya maslahi yake kufifia Ccm

Nawaomba makamanda muwaombe radhi Dr Slaa na Prof Lipumba
 
Ni muda muafaka sasa makamanda kuwaomba radhi Lipumba na Slaa.Mwerevu akivuliwa nguo huchutama na ni hakika Lowassa amewavua nguo makamanda.

Kipindi Lowassa amekatwa na kamati kuu ya CCM akakimbilia chadema na obviously inajulikana Lowassa ni power Monger atafanya chochote kile ili atimize adhma yake ya ukwaa urais tokea 1995 inajulikana hivyo.

Hakuna aliyekataa Lowassa kwenda ukawa na Chadema ila kumsimamisha Lowassa agombee urais kupitia tiketi ya ukawa walio wachache werevu walipinga wakiwemo Dr Slaa,Prof Lipumba na wanachama wachache wasiofuata mkumbo na wenye msimamo,Lowassa aliondoka ccm sababu alikatwa amejiunga Ukawa sio kama mkosoaji bali kujaribisha zari lake na akawatumia ukawa na ukawa wakatumika kweli


Prof Lipumba na DR Slaa walivyojiengua makamanda waliwakebehi viongozi hawa na Kuwaita wasaliti ,wachumia Tumbo ,na majina mengine ya kebehi kama Dr Mihogo ,propesa nakadhalika

Hebu tujiulize

What if Lowassa asingesimamishwa kuwa mgombea urais kupitia ukawa je Prof Lipumba na Dr Slaa wangejiondoa ?100% wasingerudi nyuma na naomba nikumbushe Prof Lipumba na Dr Slaa wana historia ya kuwa wapinzani kweli ,radical na kukosoa sana na wamepata kashikashi sana ,Lowassa tokea Uchaguzi uishe wapi kaonyesha sura halisi ya kuwa mpinzani ? Lipumba na Slaa walikuwa wanasimama na kusema

Nadhani rangi halisi ya Lowassa mnaanza kuiona ,Prof Lipumba na Dr Slaa waliyaona haya kitambo kuwa Lowassa ni opportunistic hakujiunga ukawa sababu ya mapenzi bali baada ya maslahi yake kufifia Ccm

Nawaomba makamanda muwaombe radhi Dr Slaa na Prof Lipumba
Wewe CCM kawape ushauri CCM wenzako pale Lumumba
 
Ni muda muafaka sasa makamanda kuwaomba radhi Lipumba na Slaa.Mwerevu akivuliwa nguo huchutama na ni hakika Lowassa amewavua nguo makamanda.

Kipindi Lowassa amekatwa na kamati kuu ya CCM akakimbilia chadema na obviously inajulikana Lowassa ni power Monger atafanya chochote kile ili atimize adhma yake ya ukwaa urais tokea 1995 inajulikana hivyo.

Hakuna aliyekataa Lowassa kwenda ukawa na Chadema ila kumsimamisha Lowassa agombee urais kupitia tiketi ya ukawa walio wachache werevu walipinga wakiwemo Dr Slaa,Prof Lipumba na wanachama wachache wasiofuata mkumbo na wenye msimamo,Lowassa aliondoka ccm sababu alikatwa amejiunga Ukawa sio kama mkosoaji bali kujaribisha zari lake na akawatumia ukawa na ukawa wakatumika kweli


Prof Lipumba na DR Slaa walivyojiengua makamanda waliwakebehi viongozi hawa na Kuwaita wasaliti ,wachumia Tumbo ,na majina mengine ya kebehi kama Dr Mihogo ,propesa nakadhalika

Hebu tujiulize

What if Lowassa asingesimamishwa kuwa mgombea urais kupitia ukawa je Prof Lipumba na Dr Slaa wangejiondoa ?100% wasingerudi nyuma na naomba nikumbushe Prof Lipumba na Dr Slaa wana historia ya kuwa wapinzani kweli ,radical na kukosoa sana na wamepata kashikashi sana ,Lowassa tokea Uchaguzi uishe wapi kaonyesha sura halisi ya kuwa mpinzani ? Lipumba na Slaa walikuwa wanasimama na kusema

Nadhani rangi halisi ya Lowassa mnaanza kuiona ,Prof Lipumba na Dr Slaa waliyaona haya kitambo kuwa Lowassa ni opportunistic hakujiunga ukawa sababu ya mapenzi bali baada ya maslahi yake kufifia Ccm

Nawaomba makamanda muwaombe radhi Dr Slaa na Prof Lipumba
Nimejikuta nacheeeeka title tu hata kabla sijafungu watu mnamambo

chadema akili zao wanazitumia kwenye vurugu tu
 
Ni muda muafaka sasa makamanda kuwaomba radhi Lipumba na Slaa.Mwerevu akivuliwa nguo huchutama na ni hakika Lowassa amewavua nguo makamanda.

Kipindi Lowassa amekatwa na kamati kuu ya CCM akakimbilia chadema na obviously inajulikana Lowassa ni power Monger atafanya chochote kile ili atimize adhma yake ya ukwaa urais tokea 1995 inajulikana hivyo.

Hakuna aliyekataa Lowassa kwenda ukawa na Chadema ila kumsimamisha Lowassa agombee urais kupitia tiketi ya ukawa walio wachache werevu walipinga wakiwemo Dr Slaa,Prof Lipumba na wanachama wachache wasiofuata mkumbo na wenye msimamo,Lowassa aliondoka ccm sababu alikatwa amejiunga Ukawa sio kama mkosoaji bali kujaribisha zari lake na akawatumia ukawa na ukawa wakatumika kweli


Prof Lipumba na DR Slaa walivyojiengua makamanda waliwakebehi viongozi hawa na Kuwaita wasaliti ,wachumia Tumbo ,na majina mengine ya kebehi kama Dr Mihogo ,propesa nakadhalika

Hebu tujiulize

What if Lowassa asingesimamishwa kuwa mgombea urais kupitia ukawa je Prof Lipumba na Dr Slaa wangejiondoa ?100% wasingerudi nyuma na naomba nikumbushe Prof Lipumba na Dr Slaa wana historia ya kuwa wapinzani kweli ,radical na kukosoa sana na wamepata kashikashi sana ,Lowassa tokea Uchaguzi uishe wapi kaonyesha sura halisi ya kuwa mpinzani ? Lipumba na Slaa walikuwa wanasimama na kusema

Nadhani rangi halisi ya Lowassa mnaanza kuiona ,Prof Lipumba na Dr Slaa waliyaona haya kitambo kuwa Lowassa ni opportunistic hakujiunga ukawa sababu ya mapenzi bali baada ya maslahi yake kufifia Ccm

Nawaomba makamanda muwaombe radhi Dr Slaa na Prof Lipumba
NONSENSE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni muda muafaka sasa makamanda kuwaomba radhi Lipumba na Slaa.Mwerevu akivuliwa nguo huchutama na ni hakika Lowassa amewavua nguo makamanda.

Kipindi Lowassa amekatwa na kamati kuu ya CCM akakimbilia chadema na obviously inajulikana Lowassa ni power Monger atafanya chochote kile ili atimize adhma yake ya ukwaa urais tokea 1995 inajulikana hivyo.

Hakuna aliyekataa Lowassa kwenda ukawa na Chadema ila kumsimamisha Lowassa agombee urais kupitia tiketi ya ukawa walio wachache werevu walipinga wakiwemo Dr Slaa,Prof Lipumba na wanachama wachache wasiofuata mkumbo na wenye msimamo,Lowassa aliondoka ccm sababu alikatwa amejiunga Ukawa sio kama mkosoaji bali kujaribisha zari lake na akawatumia ukawa na ukawa wakatumika kweli


Prof Lipumba na DR Slaa walivyojiengua makamanda waliwakebehi viongozi hawa na Kuwaita wasaliti ,wachumia Tumbo ,na majina mengine ya kebehi kama Dr Mihogo ,propesa nakadhalika

Hebu tujiulize

What if Lowassa asingesimamishwa kuwa mgombea urais kupitia ukawa je Prof Lipumba na Dr Slaa wangejiondoa ?100% wasingerudi nyuma na naomba nikumbushe Prof Lipumba na Dr Slaa wana historia ya kuwa wapinzani kweli ,radical na kukosoa sana na wamepata kashikashi sana ,Lowassa tokea Uchaguzi uishe wapi kaonyesha sura halisi ya kuwa mpinzani ? Lipumba na Slaa walikuwa wanasimama na kusema

Nadhani rangi halisi ya Lowassa mnaanza kuiona ,Prof Lipumba na Dr Slaa waliyaona haya kitambo kuwa Lowassa ni opportunistic hakujiunga ukawa sababu ya mapenzi bali baada ya maslahi yake kufifia Ccm

Nawaomba makamanda muwaombe radhi Dr Slaa na Prof Lipumba
Una mwandiko mzuri kama wa lemutuz
 
Ccm ilisimamisha wagombea wawili
 

Attachments

  • Screenshot_2018-01-11-12-45-01-1.png
    Screenshot_2018-01-11-12-45-01-1.png
    200.2 KB · Views: 27
Dk. alikimbia upinzani kwa kisingizio cha Lowassa anatuhumiwa ufisadi, akampigia chapuo mtu wa ccm wakati anajua juu ya ufisadi wa kivuko na bila kujali kuwa huko kuna watuhumiwa wa ufisadi akina vijisenti! Ameteuliwa ubalozi na hajakataa!
Tuache unafiki tuwe wakweli, Lowassa simpendi...lakini anayetakiwa ku deal na watuhumiwa wa ufisadi ni serikali, siyo wapinzani.
 
Ni muda muafaka sasa makamanda kuwaomba radhi Lipumba na Slaa.Mwerevu akivuliwa nguo huchutama na ni hakika Lowassa amewavua nguo makamanda.

Kipindi Lowassa amekatwa na kamati kuu ya CCM akakimbilia chadema na obviously inajulikana Lowassa ni power Monger atafanya chochote kile ili atimize adhma yake ya ukwaa urais tokea 1995 inajulikana hivyo.

Hakuna aliyekataa Lowassa kwenda ukawa na Chadema ila kumsimamisha Lowassa agombee urais kupitia tiketi ya ukawa walio wachache werevu walipinga wakiwemo Dr Slaa,Prof Lipumba na wanachama wachache wasiofuata mkumbo na wenye msimamo,Lowassa aliondoka ccm sababu alikatwa amejiunga Ukawa sio kama mkosoaji bali kujaribisha zari lake na akawatumia ukawa na ukawa wakatumika kweli


Prof Lipumba na DR Slaa walivyojiengua makamanda waliwakebehi viongozi hawa na Kuwaita wasaliti ,wachumia Tumbo ,na majina mengine ya kebehi kama Dr Mihogo ,propesa nakadhalika

Hebu tujiulize

What if Lowassa asingesimamishwa kuwa mgombea urais kupitia ukawa je Prof Lipumba na Dr Slaa wangejiondoa ?100% wasingerudi nyuma na naomba nikumbushe Prof Lipumba na Dr Slaa wana historia ya kuwa wapinzani kweli ,radical na kukosoa sana na wamepata kashikashi sana ,Lowassa tokea Uchaguzi uishe wapi kaonyesha sura halisi ya kuwa mpinzani ? Lipumba na Slaa walikuwa wanasimama na kusema

Nadhani rangi halisi ya Lowassa mnaanza kuiona ,Prof Lipumba na Dr Slaa waliyaona haya kitambo kuwa Lowassa ni opportunistic hakujiunga ukawa sababu ya mapenzi bali baada ya maslahi yake kufifia Ccm

Nawaomba makamanda muwaombe radhi Dr Slaa na Prof Lipumba
Kwa hiyo Lipumba amefanya nini mpaka hivi sasa? CUF bila lipumba imepata mafanikio makubwa haijawahi kutokea, ile idadi ya wabunge waliopata huku bara ni ya kihistoria. baada ya usaliti wake, Lipumba sasa analindwa na FFU, na anaruhusiwa kufanya mikutano, lakini Maalim Seif anazuiliwa. Lipumba ni kibaraka wa CCM.

Slaa kadhalika, ni kibaraka wa CCM. haitatokea hata siku moja kuwaomba radhi vibaraka.
 
Slaa...lipumba...lowasa wote ni timu moja...ongeza hapo zito.
Kilichofanyika ni kumhadaa mbowe
 
Back
Top Bottom