Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Msingi bora wa Amani ni Haki! Kama viongozi mnahubiri amani katika nchi yetu tambueni wananchi wanataka haki kwanza kwenye Taifa ndio Amani iendelee kuwepo.
Lakini mkilazimisha amani tuuuuu, bila Haki mtakuwa kama mbuzi kumpigia gitaaa
==============
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Viongozi wa dini na wa kimila kutoka Mkoa wa Arusha, akitoa Rai kwa Viongozi hao kuendelea kuhubiri amani kwa waumini na wafuasi wao pamoja na kuiombea nchi ya Tanzania.
"Muhimu kuhubiri kuwa hakuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania na ili tusonge mbele katika maendeleo ni muhimu kuendelea kuwa na amani na utulivu kwahiyo kila mmoja wetu arejeshe matumaini na maombi hayo kwamba Watanzania tunahitaji amani hivyo sala na maombi yetu kwa Mwenyenzi Mungu ni amani na sisi serikali tutaendelea kupokea ushauri wenu na kuufanyia kazi." Amesisitiza Mhe. Makalla.
Lakini mkilazimisha amani tuuuuu, bila Haki mtakuwa kama mbuzi kumpigia gitaaa
==============
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Viongozi wa dini na wa kimila kutoka Mkoa wa Arusha, akitoa Rai kwa Viongozi hao kuendelea kuhubiri amani kwa waumini na wafuasi wao pamoja na kuiombea nchi ya Tanzania.
"Muhimu kuhubiri kuwa hakuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania na ili tusonge mbele katika maendeleo ni muhimu kuendelea kuwa na amani na utulivu kwahiyo kila mmoja wetu arejeshe matumaini na maombi hayo kwamba Watanzania tunahitaji amani hivyo sala na maombi yetu kwa Mwenyenzi Mungu ni amani na sisi serikali tutaendelea kupokea ushauri wenu na kuufanyia kazi." Amesisitiza Mhe. Makalla.