PreGE2025 Makalla: Mbeya itabaki kuwa ngome ya CCM

PreGE2025 Makalla: Mbeya itabaki kuwa ngome ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,398
Reaction score
14,512
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Amos Makala, amesema Mbeya itabaki kuwa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hakuna jimbo ambalo watamwachia mtu.

IMG_3739.jpeg


Amesema kata zote zitakuwa chini ya CCM na vivyo hivyo kwa majimbo.

Makalla, ameyasema hayo leo, jijini Mbeya, wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika Ofisi za CCM Mkoa na baadaye jioni anatarajia kufanya mkutano wa hadhara.
 
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Amos Makala, amesema Mbeya itabaki kuwa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hakuna jimbo ambalo watamwachia mtu.

Amesema kata zote zitakuwa chini ya CCM na vivyo hivyo kwa majimbo.

Makalla, ameyasema hayo leo, jijini Mbeya, wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika Ofisi za CCM Mkoa na baadaye jioni anatarajia kufanya mkutano wa hadhara.
Huo ndio ukweli mtupu,..
 
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Amos Makala, amesema Mbeya itabaki kuwa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hakuna jimbo ambalo watamwachia mtu.

View attachment 3285114

Amesema kata zote zitakuwa chini ya CCM na vivyo hivyo kwa majimbo.

Makalla, ameyasema hayo leo, jijini Mbeya, wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika Ofisi za CCM Mkoa na baadaye jioni anatarajia kufanya mkutano wa hadhara.
Hayo ndio maagizo wamewapa vyombo vya dola wahakikishe inakuwa hivyo?
 
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Amos Makala, amesema Mbeya itabaki kuwa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hakuna jimbo ambalo watamwachia mtu.

View attachment 3285114

Amesema kata zote zitakuwa chini ya CCM na vivyo hivyo kwa majimbo.

Makalla, ameyasema hayo leo, jijini Mbeya, wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika Ofisi za CCM Mkoa na baadaye jioni anatarajia kufanya mkutano wa hadhara.
Makalla sio mda atafunguliwa kesi kwenye mahakama za kimataifa, mpaka ilo tumbo liishe
 
Kasahau kuchamba mavi ya jana anapigia mswaki tena
 
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Amos Makala, amesema Mbeya itabaki kuwa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hakuna jimbo ambalo watamwachia mtu.

View attachment 3285114

Amesema kata zote zitakuwa chini ya CCM na vivyo hivyo kwa majimbo.

Makalla, ameyasema hayo leo, jijini Mbeya, wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika Ofisi za CCM Mkoa na baadaye jioni anatarajia kufanya mkutano wa hadhara.
Aombe msamaha kwanza kwa uchochezi, kuleta taharuki, kuihujumu nchi kwa kauli Tata.
 
Kwani huyu akili kazipeleka wapi jamani, mbona alivyokuwa RC Mbeya kidogo alikuwa na akili au ndo chakula cha bure kinawehusha watu??
 
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi na Mafunzo, Amos Makala, amesema Mbeya itabaki kuwa ngome ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hakuna jimbo ambalo watamwachia mtu.

View attachment 3285114

Amesema kata zote zitakuwa chini ya CCM na vivyo hivyo kwa majimbo.

Makalla, ameyasema hayo leo, jijini Mbeya, wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho katika Ofisi za CCM Mkoa na baadaye jioni anatarajia kufanya mkutano wa hadhara.
1743099857124.jpg
 
Back
Top Bottom