PreGE2025 Makalla: Atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi

PreGE2025 Makalla: Atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
 
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
Hayo maboresho yalishindwaje kuufanya uchaguzi wa 2024 kuwa huru na wa haki?
 
Mwana CCM ana ahidi uchaguzi utakua huru..eti "hiyo ndo ahadi yetu".🚮🚮 Mavienu
 
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
Wameshawadhibiti chadema, ndo wanasema mshindi halali atangazwe, wangesema tuu samiah atangazwe hamna hata aja ya kujisumbua na makampeni Wala kupiga kura.

No reforms no election
 
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
Nchimbi alisema hivi Serial za Mitaa yakajirudia yale yale ya 2019
Samia akatangazia dunia yakajirudia yale yale
Majaliwa naye akatangazia dunia yakajirudia yale yale
Kifua kipana naye akasema hivi hivi ndo akavuruga kabisa .
CCM sio wa kuamini hata kidogo
 
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
Huyu mjinga kichwa chake kama huyu mdudu
 

Attachments

  • 1745911104423~3.png
    1745911104423~3.png
    204 KB · Views: 12
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
Nakataa kama hapo upo ukweli
 
"Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaamini kuwa marekebisho mengi yaliyofanywa katika sheria mbalimbali za kusimamia uchaguzi (mabadiliko ya sheria ya uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais; mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa; na mabadiliko ya sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi -INEC),

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

CCM inaamini kwamba kwa kuwa na maboresho hayo yote basi tunaamini atakayeshinda kwa haki atangazwe kuwa mshindi, na hii nadharia inayojengwa na baadhi ya wapinzani kwamba uchaguzi ulio huru na haki ni ule tu ambao chama tawala kimeshinda (yaani ni kama mechi, kwamba ukishinda unasema marefa walikuwa fair wamechezesha vizuri, lakini ukishindwa unasema palikuwa na tuta pale refa kaacha, palikuwa na faulo kaacha, pale palikuwa na Kona nk, kwahiyo ukishinda wewe tu ndio unasema mpira umechezeshwa kwa haki), hivyo hivyo na uchaguzi tunasema sisi kwamba atakayeshinda kwa haki atangazwe mshindi, hiyo ndio ahadi yetu" -CPA Makalla
Hizo sauti za aliyeshinda atangazwe kwa haki hata kama inatoka moyoni itabaki kuwa ni ndoto yake tu kwa sababu huku chini mfumo umeshaharibiwa hauwezi kurekebishwa kwa hotuba za majukwaani.
 
Hiyo si kauli mpya mjini; husemwa kwa kujirudiarudia hata kabla ya 2014.

Mlioingia 'mjini ' hivi karibuni kula chuma hicho
 
Back
Top Bottom