HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
Last edited by a moderator:
pole huyo utakula mwenyewe hakuna kuibiwa ndio faida pekee uliyonayo.Ngoja waje! Binafsi she wangu kapigwa pasi mbaya....
tofauti na vibuyu vya jamii ya wafugaji kama wamasai ambavyo ni vyembamba na virefu vyenye mdomo mwembamba, vya kinyakyu ni vikubwa na vinene ya kutoshea hata lita 5 za maziwa na kuendelea, hebu pata picha
me naitaji maana nimepigwa pasinaunga mkono kifarutz , shem wangu alitumia hio diet, ukimwona sasa hivi mashalaa, afrika bambataa. hiyo diet naijua wala siyo mchina ni mgeruman original. wenye kuhitaji waseme tuwasaidie. wasitumie mchina noma!!!
Asili ya Waafrika kila kitu in excess,,kuanzia chakula mpaka makalio,haya bana mkute mnangangania makalio makubwa wkt vifimbo vibamia,,
eheee....tutake radhi Penelope!
Hilo sikubaliani na wewe kabisaaaaaaaa! kwa sababu ni wachahe ambao wanakuwa na makalio makubwa halafu na mtindi pia mkubwa, wengi wakiwa hivyo mtindi unakuwa mdogo.Inaonyesha uliyekutana naye wewe yuko hivyo, pole sana.Kalio kubwa linavutia likiwa limesitirika na nguo tu, ngoja awe mtupu, na usiombe na mtindi uwe kama vibuyu vya unyakyusani, dooo!!!
ha ha ukweli ndo huo,mnataka hayo makalio makubwa mna uwezo wa kuyahimili na kuwaridhisha wahusika,ama mnajiangalia tu mnataka nini na vitu gani vitawaridhisha,,kuleni usawa wa kamba zenu!
ha ha ukweli ndo huo,mnataka hayo makalio makubwa mna uwezo wa kuyahimili na kuwaridhisha wahusika,ama mnajiangalia tu mnataka nini na vitu gani vitawaridhisha,,kuleni usawa wa kamba zenu!
Hapa nilimaanisha utakuta wanawake zenu wamepigwa pasi makalioni...yaan wapo flat kama ubapa.
mmmh, wewe Penelope huna wakubwa kwenu....?
Wewe upoje kwa mfano.....
story zingine bana, kama dasa la 3A
uwiiii mbavu zangu nimecheka mpaka baasi! makalio makalio makalio... wanaume na makalio! makalio makubwa sana hayana deal zaidi ni kuleta harufu mbaya tu maana majasho yale, kuchamba vizuri ni taabu, mara chupi hazitoshii vizuri n.k. mwanamke mwenye maumbile makubwa sana kati ya kiuno na magoti asipokuwa msafi wa kutosha lazima atatoa harufu fulani ya kukera!Makalio makubwa huridhisha mwanaume kisaikolojia tu but hayana uhusiano na utamu wa mtu/mhusika unless unataka kuyashika shika tu. Mi naona ni kuzidisha uchafu tu mwilini maana mwanamke akiwa ana makalio makubwa kama "hachambi" vizuri atabakiza uchafu huko SAUDI ARABIA so Mikalio mikubwa si ya kufurahia. halafu hata wakati unashughulika makalio yanapoteza "Centre of euillibrium" ni kama vile uka-park gari kwenye mteremko mkali
Mimi ninacho cha kutetemesha...