Makalio makubwa ya wadada.

Makalio makubwa ya wadada.

Wengine wakiyaona hayo mwili unawasisimka Kama wana tambaliwa na wadudu mwilini wengine watu wazima wana hadhirikaa kwa mfadhaiko...
 
kasheshe umkute na ---- af baada ya miaka kawa flat creen
 
Huko kwetu kuna jamaa aliingia kwenye mtaro wa maji kisa kuangalia hayo makalio, jamaa tangu aligeuka nyuma kuangalia makalio mpaka anapoteza direction hadi kwenye maji chumbwiiiiii, watu wote kicheko
 
Wengine wakiyaona hayo mwili unawasisimka Kama wana tambaliwa na wadudu mwilini wengine watu wazima wana hadhirikaa kwa mfadhaiko...

kwenye makalio hakuna jasiri , tusidanganyane hapa jamani
 
kwenye makalio hakuna jasiri , tusidanganyane hapa jamani
Kila mtu na sehemu yake inayo mmaliza kwenye mwili wa mwanamke kama wewe makalio mwenine macho,mwengine kifua,mwengine kucha na vyenginevyo.....kwa ufupi sio wote makalio..............
 
mizigo ndo kila kitu mkuu;wa pasi huwa asisimui kwa kweli.
 
Kila mtu na sehemu yake inayo mmaliza kwenye mwili wa mwanamke kama wewe makalio mwenine macho,mwengine kifua,mwengine kucha na vyenginevyo.....kwa ufupi sio wote makalio..............

si kweli;makalio ndo kila kitu vingine ziada.
 
Jerrymsigwa inaonekana we ni proffesional kwa haya mambo...hahahahaaa...Eti kuyazaba mabao!!

Hostel za chuo ndo zinaharibu bana, tulikuwa tunasikiliza kwa lazima..fujo za wanachuo sauti ya juuu hahahaha huwa yanapigwa vibao aisee
 
M nadhan ivi vtu kila mtu na fleva zake, sio wote wanapenda makalio ingawa kiukweli mwanamke mwene makalio ni fitina jamani!!!
 
Kiukweli mimi kalio kubwa huwa napenda kuliona likiwa ndani ya nguo linavyonesa!lakini cha ajabu 2napokuwa kwny game sioni ule mvuto!kwanza mengine yanakuwaga na mabonde mabonde au michirizi ambayo huwa inanitoa kwenye mood!Perfomance pia ya hawa waliojaaliwa neema kunako ni ndogo,wembamba ni rahisi kuwamiliki na kuwaweka kwenye mikao mbalimbali!kiukweli naenjoy game na madem wembamba kuliko mibonge yenye makalio!
 
Back
Top Bottom