Lucky Poem
Member
- Jul 31, 2014
- 11
- 5
Umeona idaz eeeeeh
Kwan we umelielewaje
tuMASHINE
Heheeeee eeeee umenifurahisha
Ndo manaake!
Ndio ninato twingi
Ha ha ha aaah!! Mwongo!
Ndio nna tuwil mwenzio
mkuu demu akiwa na flat screen dawa yake ni short gun ambayo haijakatwa kitako sio kama zile za kova na majambazi ya bodaboda
Ndio nna tuwil mwenzio
Hembu acheni zenu bhana mnahamisha mizuka yangu ya kumsikiliza prof Lumumba bhana. Mkiendelea naacha mjadala wa ITV.
Heheheeeeeeeee
Ishi kwani mi sijui kucheka, hembu, hahahahaaaaaaaaaaa!
---- la wastani aka kijungu latosha...Sio demu mtako huooo mpaka kinyaaa
Mie sjachekaaa mbona labda tu ka umejickia kufurahi cheka uongeze siku za kuishi
Nimepata miaka miwili ya ziada! Kwanza weka picha yako hapa tuone hiyo username km ina hivyo vi mashine!
Hata uwe na kalio kubwa kama nyumba kama sio mnato ni bure