jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Ukiusikiza wimbo mpya wa Ney wa mitego kuna kipande amesema kuwa "Makahaba wa viwango wapo Bongo Movie"Msemo wake unakwenda sambamba na maisha ya hawa dada zetu walio kwenye Tasnia hii pendwa hapa bongo kwa sasa.Kahaba sio lazima asimame barabarani kusubiri wanaume, hata yule anaemkubali kila mwanaume ili apate pesa nae pia ni kahaba.