Makadirio ya mapato ya Askofu Gwajima


Ndo Ukristo huo?? Hizo lugha unazotumia??
 

Takwimu imezitoa wapi za waumini 70000? halafu kumbuka wanavyokuwa wengi na kuwahudumia ni gharama, yote tisa, Hayo hayahusiani na matatizo tuliyonayo watz! Let Gwajima alone!!!
 
Last edited by a moderator:

Nakwambia wewe hujitambui. Hata arguments zako unaona kabisa hujitambui wewe ni nani. Umekanyagwa na Ulokole mpaka hujielewi! Hujui ukatoliki historia yake ndio maana hujitambui! Kama unaamini kuwa gwajima una UKIMWI atakuponya virus wayeyuke, hakika nakwambia hujitambui! Kama unaamini kwa kuja na kopo kanisani Gwajima ataliombea liwe Scania, hakika hujitambui
 
Sasa mi sijui hili lakihusu nini? Nashauri ufuate mambo yako! Achana na ya watumishi fake!




UOTE=MCHUNGUZI HURU;12379448]Wanabodi,

Kama ni kweli Ngwajima ana waumini wasiopungua elfu sabini na wanaenda kanisani mara mbili kwa wiki basi Ngwajima anaingiza zaidi ya bilioni tatu kwa mwaka (makadirio ya chini kabisa)

NI HIVI:
Tufanye kila muumini wake hutoa sadaka ya sh. 500 tu-hiyo ni flat rate, ina include waliotoa elfu kumi, waliotoa sh mia na wasio toa kabisa.

Hivyo basi kwa siku moja kwa waumini 70,000 wakitoa sh 500 ni sawa na sh milioni 35. Kwa wiki wanaenda mara mbili hivyo ni sawa na sh milioni 70.

Kama kwa wiki anaingiza milioni 70, je kwa mwezi anaingiza kiasi gani? Uki cross multiplication utapata milioni 280

Kama kwa mwezi anaingiza milioni 280, je kwa mwaka anaingiza kiasi gani? uki cross tena multiplication utapata bilioni 3 na milioni 360. Sasa piga hesabu kwa miaka yote aliyotoa huduma ameingiza sh ngapi?

Kwa mantiki hiyo pesa aliyonunulia Hummer aliipata ndani ya mwezi mmoja tu.

Achilia mbali fungu la kumi na pesa mbali mbali anazopewa kama zawadi, hapo tumepiga hesabu ya sadaka tu.

NAMALIZIA, Biblia inasema "vya madhabahuni vitaliwa na wamadhabahuni" full stop.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:


Mkuu hakuna uhalisia wowote hapo, kukusanya watu sabini siyo kazi ndogo, angalia uwanja wa taifa baada ya m,echi kuisha hali inavyokua barabarani wakati wale ni 60,000 au chini yake.
 
Sijawahi kuona kanisa linalochukua idadi kubwa ya waumini inayofikia elfu ishirini hapa nchini achilia mbali elfu Sabin. Labda kanisa la TB Joshua huko Nigeria
 
Sijawahi kuona kanisa linalochukua idadi kubwa ya waumini inayofikia elfu ishirini hapa nchini achilia mbali elfu Sabin. Labda kanisa la TB Joshua huko Nigeria

Umenena vyema wewe hajawahi bali sisi tumewahi.Isitoshe yawezekana unaishi kijijini au uwa hautembei sehemu mbali mbali.
 
Msitake kudanganya watu, idadi ya watu elfu 70 sio mchezo. tazama tuu uwanja wa taifa wakitoka uwanjani barabara zote zinajaa, hakuna nafasi. na hao ni 60,000. ije kuwa hao wawili hapo kwa gwajima.? yaani kama wengi sana ni 20,000 sio zaidi. na data zipo sahihi kabisa.
 

Ni vema kumtolea MUNGU na sio wachungaji feki wanaojitajirisha kimwili bila ya kibali cha MUNGU. Wanaojiita maaskofu wengine sio askofu ni wafuasi wa shetani ila wamevaa ngozi ya kondoo. Mtu wa MUNGU hana matamshi machafu, na hana sifa chafu. Eti unasema ni kabila moja na wamesoma wote hivyo unataka wasitembeleane na wachukiane au sio? Tunashauriwa kujenga chuki au upendo?.
 
Watu wanaacha kupga mahesabu ya TRA jinsi yanavoliwa na maCCM mnakuja na vijihesabu vya kataasis ambako hata hakatugusi wengine, acheni majungu nyiny, lete hesabu zenye maslahi mapana ya nchi bwana mnaboa sana

Huyu ametoa mtizamo wake kuhusu chanzo cha mapato ya Gwajima, kuna conspiracy theory nyingi kuhusu huyu jamaa amepata wapi hela, mimi sioni kosa hapo, wewe nawe hukatazwi kuja kutuelimisha kuhusu hayo mambo ya TRA
 
Hata 20000 bado ni hypothetical....

Pale kwa Gwajima wakizidi sana ni watu 2000..
 
mmmm wakubwa.tumeona mapapa yanachota mabilon ya esrow hela za wananchi wameshindwaa kuwahoji nchi hii.wako wahuni wameficha uswisi mabilion hawahojiwi
 
Yaani hana hospitali , shule, kituo ca yatima nk! Hela yake ni ya Kupiga tu maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…