PreGE2025 Makada wa CCM watembea kwa baiskeli mpaka ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma

PreGE2025 Makada wa CCM watembea kwa baiskeli mpaka ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Baadhi ya matukio katika Mkutano mkuu wa chama cha mapinduzi unaofanyika jijini Dodoma tarehe 29-30/05/2025.

Na hao ni baadhi ya makada wazalendo wa CCM wakiendesha baiskeli wakiwa wanaingia ukumbi wa Jakaya Kikwete kushuhudia kila kitu kwenye mkutano huo

 
Kutoka wapi kwenda wap? Kwa sababu hawa viazi wengi wao hawanizidi mimi kwa chochote
 
Hypocrisy ya Hali ya juu Kwa kweli! Yaani mtaani unatamba na vieitee halafu mbele ya camera upo na baiskeli! Na wewe mtoa mada ulivyo zwazwa umeingia mkenge
 
Back
Top Bottom