Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,890
Ndungu yangu kiufupi tanzania ndio nchi pekee duniani ambayo kila upuuz unawezekana.. So usishangaeYou are right! Nilishangaa sana kuona utumishi wakihitaji CV za hao wateule kupelekwa utumishi baada ya kuteuliwa. Ndo nilipojiuliza inawezekanaje muajiri kumuajiri MTU kabla hajapitia CV yake? Nafikiri hii inatokea tz tu.