Makada wa CCM waibua mjadala

Katika hali hii ya uteuzi wa kulipa fadhila, ni ngumu sana kuelewa mamlaka za uteuzi na kile wanachohubiri. Inasikitisha sana kuwa ajira zimesitishwa ila wengine wanaendelea kuajiriwa. DAS kisheria sio ajira za kisiasa, ile ni permanent and pensionable employment. Inahitaji watu wenye uzoefu na ambao ni watumishi wa umma tayari, ila ukiangalia hawa walioteuliwa kuna wengine hawajawahi kuajiriwa popote na hii ni ajira yao za kwanza!!!!!!! Nikitazama naona "pure darkness".
Watu bwana; mkiambiwa uzoefu miaka 20 mnalalamika, wakiajiriwa wasio na uzoefu bado mnalalamika. Lipi ni lipi wandugu?
 
Kwa hiyo kila kinachosemwa na MAGAZETI kwako ni sahihi.....SASA ni kwanini povu huwa linakutoka pale tu MAGAZETI YANAPOWAANDIKA VIONGOZI WENU.....????
Mkuu povu mbona yapo lumumba unaweza kufulia nguo na ikatakata sana tu
 
Jamaa kweli hashauriki kwa kiwango cha lami! Kwa DAS hata ambae hana diploma angeelewa kuwa wanatokana na watumishi wa umma na sio teuzi kama wana siasa! Ile Ile permanent and pensionable
 
Naona mzee anatafuta jinsi ya kutoka 2020 kwani inavyo onekana watanzania wamesha mchoka.
 
Watu bwana; mkiambiwa uzoefu miaka 20 mnalalamika, wakiajiriwa wasio na uzoefu bado mnalalamika. Lipi ni lipi wandugu?
Kuna kazi zinahitaji uzoefu na kuna kazi hazihita uzoefu mkubwa sana. Lakini inategemea kwa unyeti wa kazi. Sasa hao waliopendelewa na kuzawadiwa nafasi kwa fadhila wengi wao ni vichwa panzi.

Tatizo la tanzania tunaendekeza siasa uchwara sana na hakuna nchi duniani ilishawahi kufanikiwa kwa kuendesha shughuli za kiserekali kisiasa uchwara. Hata huyu wa sasa mpendwa wetu na mtakatifu kashafeli tayari.
 
Katika hali hii ya uteuzi wa kulipa fadhila, ni ngumu sana kuelewa mamlaka za uteuzi na kile wanachohubiri. Inasikitisha sana kuwa ajira zimesitishwa ila wengine wanaendelea kuajiriwa. DAS kisheria sio ajira za kisiasa, ile ni permanent and pensionable employment. Inahitaji watu wenye uzoefu na ambao ni watumishi wa umma tayari, ila ukiangalia hawa walioteuliwa kuna wengine hawajawahi kuajiriwa popote na hii ni ajira yao za kwanza!!!!!!! Nikitazama naona "pure darkness".
You are right! Nilishangaa sana kuona utumishi wakihitaji CV za hao wateule kupelekwa utumishi baada ya kuteuliwa. Ndo nilipojiuliza inawezekanaje muajiri kumuajiri MTU kabla hajapitia CV yake? Nafikiri hii inatokea tz tu.
 
You are right! Nilishangaa sana kuona utumishi wakihitaji CV za hao wateule kupelekwa utumishi baada ya kuteuliwa. Ndo nilipojiuliza inawezekanaje muajiri kumuajiri MTU kabla hajapitia CV yake? Nafikiri hii inatokea tz tu.
Kaka ukiona nchi inaendeshwa kwa kuungaunga kwa mtindo huu ujue watoto wa walalahoi hatuna chetu na yule anaejipambanua kuwapigania maskini ni mnafiki wa kutupwa tena hatari kuliko sumu ya nyoka.
 
Reference ya utawala wa nchi yetu ni Chadema au ni akili zako ndogo tu? Please nisaidie

Nimetumia kama reference ya ukurupukaji. Kwan we hukubali kuwa kuweka na kuitoa list of shame kwny tovuti ya chama ni mfano wa ukurupukaji?
 
Watu bwana; mkiambiwa uzoefu miaka 20 mnalalamika, wakiajiriwa wasio na uzoefu bado mnalalamika. Lipi ni lipi wandugu?

Dogo elewa kinachozungumzwa hapa! Tatizo ni ukiUkwaji wa sheria za kuajiri, wewe unavijua vigezo vya kuwa DAS?
 
Tena wanamchukia to the maximum hadi vijijini wamemshutukia jamaa ni kama mwanasesere hakiamini kile anachohubiri.
Hapo haja maliza hata mwezi. Uongozi ni kitu tofauti sana.
1467872944061.jpg
 
Jamaa kweli hashauriki kwa kiwango cha lami! Kwa DAS hata ambae hana diploma angeelewa kuwa wanatokana na watumishi wa umma na sio teuzi kama wana siasa! Ile Ile permanent and pensionable
Kama uteuzi wa DAS kuna sheria yyte imeweka wazi uteuzi huo lazima mteuliwa atoke kwenye utumishi basi kuna hoja ya msingi, lkn kama hakuna sheria basi ndo imetoka hiyo
 
Back
Top Bottom