Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
- Thread starter
-
- #181
Kumekucha!! hivi ma-nu yia ulitia timu viwanja vipi?? NN alikuwa nyumbani kwake alone and bored as hell....jamaa ana maisha mafumu sana!! LOL..
Kumekucha!! hivi ma-nu yia ulitia timu viwanja vipi?? NN alikuwa nyumbani kwake alone and bored as hell....jamaa ana maisha mafumu sana!! LOL..
Hakutaka tuu kukwambia lakini tulikuwa wote alijua akikwambi autajitia kitanzi.....
Huyu naye amehusu unyalu land?Hakutaka tuu kukwambia lakini tulikuwa wote alijua akikwambi autajitia kitanzi.....
Huyu naye amehusu unyalu land?
See...that's why you are the hottest chick in the game.....
Irene uwoya msukuma/mnyamwezi?Mimi ni cross between msukuma na mnyamwezi....
Irene uwoya msukuma/mnyamwezi?
uwoya sio majina ya kwenu?Sasa mi ntajuaje?
uwoya sio majina ya kwenu?
Nitajie majina zaidi ya ma5 ya wanawake maarufu wa kisukuma/kinyamweziSijui kila jina la kwetu...
Nitajie majina zaidi ya ma5 ya wanawake maarufu wa kisukuma/kinyamwezi
acha zako namjua misoji tu hao wengine sio maarufu.....jina kama ng'washi hawezi kuwa demu mkaliKashinje, Misoji, Kudahwa, Sozi, Misambo, Ng'washi,
acha zako namjua misoji tu hao wengine sio maarufu.....jina kama ng'washi hawezi kuwa demu mkali