Kwa katiba yetu madini ni mali ya serikali nakushauri we yachimbe kimya kimya ukayaifadhi kwenye ghala sehemu nyingine halafu tafuta wateja wakubwa waje kununua ghalani.
Kwa katiba yetu madini ni mali ya serikali nakushauri we yachimbe kimya kimya ukayaifadhi kwenye ghala sehemu nyingine halafu tafuta wateja wakubwa waje kununua ghalani.
Mkuu kabla haujaanza kuyachimba jitahidi ujue kwanza QUALITY ya mkaa wenyewe! Kuna wanunuzi wengi wapo, na kuna watu wengi wanataka ku'invest huko! Kiushauri ilo eneo ni lako unalotaka kuchimba????
Mkuu kabla haujaanza kuyachimba jitahidi ujue kwanza QUALITY ya mkaa wenyewe! Kuna wanunuzi wengi wapo, na kuna watu wengi wanataka ku'invest huko! Kiushauri ilo eneo ni lako unalotaka kuchimba????