MATAKATAKA
Senior Member
- Jun 19, 2013
- 126
- 52
Wandugu hamjambo lakini? naomba kuuliza hivi makaa ya mawe unaweza kuyauza kama madini mengine kwa kilo na yana soko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu hamjambo lakini? naomba kuuliza hivi makaa ya mawe unaweza kuyauza kama madini mengine kwa kilo na yana soko?
yana soko sana endapo utakuwa nayo kwa kiwango kikubwa sana kiasi cha kuweza kuyauza kwa viwanda vikubwa!kwani upo mkoa gani mkuu?
Ni PM,nayahitajiWandugu hamjambo lakini? naomba kuuliza hivi makaa ya mawe unaweza kuyauza kama madini mengine kwa kilo na yana soko?
Ni PM,nayahitaji
Ushaula ongea na nkapa si wana n godi wa kiwila <coal mine>
hawata niletea mambo ya ajabu kweli wale
Kwa katiba yetu madini ni mali ya serikali nakushauri we yachimbe kimya kimya ukayaifadhi kwenye ghala sehemu nyingine halafu tafuta wateja wakubwa waje kununua ghalani.
Mkuu kabla haujaanza kuyachimba jitahidi ujue kwanza QUALITY ya mkaa wenyewe! Kuna wanunuzi wengi wapo, na kuna watu wengi wanataka ku'invest huko! Kiushauri ilo eneo ni lako unalotaka kuchimba????