Unaandika kwa Huruma sana Dada yangu. Maneno yote ni kujifariji tuu.
Kwa mfano hiyo avatar yako kuna watu full udenda na imagination kibao
Nijifariji kwa lipi sihitaji huruma ya mpuuzi wa JF labda ya mtiaji wangu.
Mpuuzi ni nani? Mimi au ww Nitoleee makengeza yako hapa tusiharibiane siku.
Oooh. Hapo sawa Pacha.Hahaha nifichwe na nan pacha nngefichwa nngeshakwambia we tena
Majukumu tu mamito yamenibana
hahaaHa ha ha ha kwahio we ulivyoona jina cutelicious na avatar ya christina milian ukajua mtoto kisu au sio? Humu baadhi ya wachumba ni jau hadi kidume unaweza mkimbiza kwa muonekano yani! wengi wana mikwara na avatar za mastaa na mizigo mizigo hivi,
hahaaNdo hivyo mkuu , jina, mada zake pamoja na avatar vilinifanya ni usiku mzima nisilale nikiingonjea siku ya kuonana na mrembo matata, ila niliyekutana nae sina budi kutubu na kumrudia mola wangu au nikomae na wa huku uswazi kwetu.
hahaa aisee bar maid tena !!? wapo humu humu "!!?, acha basii humu wanapatikana mademu wakali watoto wa osterbay " masaki " kijitonyama " mikocheni pekee tuHahahahahahah, ni noma mkuu kuna moja niliwahi ivutia whatsapp kucheki kumbe ni baamed af kolo kinoma nikaona isiwe kesi, since then no shobo humu! Tuchat tu yaishie hapa
HahaaBora utongoze fesibuku kuliko JF mkuu humu kuna mademu wanamzidi mizengo pinda
Labda mi sina bahati mzee baba, maana chambo alikamata muhudumu!hahaa aisee bar maid tena !!? wapo humu humu "!!?, acha basii humu wanapatikana mademu wakali watoto wa osterbay " masaki " kijitonyama " mikocheni pekee tu
Umenichekesha sana " huwenda ikawa kweli maana mimi sina experience ya hivyo vitu " sijawahi kujaribu kuanzisha mahusiano na mdada wa Jf "..Labda mi sina bahati mzee baba, maana chambo alikamata muhudumu!
Haikuwa mahusiano ila ni kutest mitambo tuUmenichekesha sana " huwenda ikawa kweli maana mimi sina experience ya hivyo vitu " sijawahi kujaribu kuanzisha mahusiano na mdada wa Jf "..
anhaa sawa mkuuHaikuwa mahusiano ila ni kutest mitambo tu
Hahahaha, aseehahaa aisee bar maid tena !!? wapo humu humu "!!?, acha basii humu wanapatikana mademu wakali watoto wa osterbay " masaki " kijitonyama " mikocheni pekee tu