Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Hahahahaha cariha ila me ushauri wangu muwe mnaweka avator ambazo zinaendana nanyinyi bac ili siku tukikutana mshtuko wetu usiwe mkubwa hii si kwawanawake tu bali hata kwavidume, mwanaume unasura kama wasira alafu unaweka evator ya chriss brown
Tuanze na wewe sasa kwenye hiyo avator kabla ya kwenda kwa mwingine ili ushauri wako ufanyiwe kazi vizuri
 
...best ake inaonekana kuna kitu kinakukereketa kwenye koo teh teh!
Unafkiri
sometimes hukaa nikacheka sana na haya mambo.

Nnapokua kma hapa na nikaona thread kma hzi hua napata pa kuongea ni mambo tunakumbana nayo katika maisha yetu ya kila siku.

Unachotaka naona niongee tuu
.
 
Haahaaaahaaa...eti nataka uongee


Ila na nyie vidume mvuto upo au mnaangalia filter za hips na mitumbo yetu?
 
Inashawishi eeh? Eti eeeh
Inashawishi tena sana, level zake nihotel zanyota ndio ile najikoki natafuta hotel nzuri chaajabu unatokeza mtu tofauti yaani ufanani na avator yako hata robo yake mara pap ninakufa kabisa
 
Inashawishi tena sana, level zake nihotel zanyota ndio ile najikoki natafuta hotel nzuri chaajabu unatokeza mtu tofauti yaani ufanani na avator yako hata robo yake mara pap ninakufa kabisa
Mara nakuzika kabisa
....kutongoza avatar na miandiko mwaja kutana na majini ohooo!
 

Picha ni lazima mtu aione, usije kuwa unamtongoza ndugu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…