Majuto ni mjukuu, Kikwete ulikuwa na nafasi kutupatia Katiba Mpya

Ipo siku utaguswa utaelewa wenzio wanalalamikia nini juu ya huu utawala.
Kama ni kuguswa nilishaguswa kitambo kwenye tawala zilizopita. Hivyo nikiguswa ni mwendelezo tu ''kuishi dunia ya tatu'' na siyo eti ni kwa sababu ya Magufuli. Wakati wa Kikwete nilishawahi kukamatwa uzururaji na nikatoa fedha ili niachiwe japo mimi siyo mzururaji. Niliwahi kufokewa na polisi bila sababu. Huwa nafarijika ninapoona angalau Magufuli ana- take action anapoona mambo kama hayo.
 
Kumbuka Nduli idd Amin mla nyama za watu aliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki

Magufuli kachaguliwa na Watanzania kwa mamilion ya kura

Muache kuropoka ropoka
Nyama ya nani aliila wacha kuwa kasuku fanya utafiti!!
 
nakumbuka ile siku Kikwete na genge lake waliposigina "Maoni ya Watanzania maarufu kama katiba ya Mzee Warioba" Karma is bit**ch! acha imtafune!
 
Hofu yangu ni baada ya magufuli in case kaja ambaye ni kinyume chake.Ni muhimu kama taifa tuwe na taasisi imara siyo 'mtu imara'.
 
Nakutumia ka vocha kidogo huko PM ni halotel, kama hutumii mtandao huo mgawie hata jirani yako! MAlipo ni hapa hapa duniani nadhani JK acha dawa imuingie na bado sana! R.I.P Sengondo Mvungi (1952 – 12 November 2013)
 
Kuku na yai bado unajiuliza nini kilianza? Muwe munasoma vitabu kama Biblia ili kupata maarifa. Mungu hakuumba yai aliumba kuku. Therefore, kuku ndo wa kwanza kuwepo duniani. Period.
 
Kwahiyo kwa sasahivi hakuna maisha ya kuigiza ni kuishi maisha halisi yakwako kabisa?
 
Very think able-bodied.
Kikwete anajiona leo ana huruma. Wakati alikuwa kama magu tu, pengine zaidi
 
Umesahau wakati wa jk pia maskini alikuwa anaweza kufanywa kitu chochote na tajiri? Watu walivunjiwa nyumba na kuporwa maeneo kisha unaambiwa nenda popote. Jioni waporaji wanakunywa chai na jk.
 
Kwa huku Africa hasa Tz mtu mzuri ni yule aliemaliza muda wake wa utawala. Akiwa madarakani wengi tunatazama mapungufu yake na kubeza.
 
Mku weka namba ya simu nikupe voucha. Kweli umejipinda sana hapo mezani na computer yako ukatoa wazo zuri.
 
Magu ni wazi huwa hatumii muda wake kuwaza ya kesho baada ya yeye kuondoka madarakani.
Unawaza kwa nyayo. Kikwete aliyewaza kustaafu ameleta maendeleo gani?

Ni lini tutakuwa wakweli? Kikwete mpole mno, Magufuli dikteta, Mkapa kauza nchi, Mchonga meno nchi imemshinda, Mwinyi kauza nchi.

Aje mungu basi aongoze nchi.
 
Unawaza kwa nyayo. Kikwete aliyewaza kustaafu ameleta maendeleo gani?

Ni lini tutakuwa wakweli? Kikwete mpole mno, Magufuli dikteta, Mkapa kauza nchi, Mchonga meno nchi imemshinda, Mwinyi kauza nchi.

Aje mungu basi aongoze nchi.
Hata yeye akibahatika kupata tutalalamika vilevile hawezi kuturidhizisha wote watu Million 55 Tz
 
Jk ni mnafiki sana, alikuwa wapi asibadilushe katiba kuondoa huo UMungu mtu serikalini. Akae kimya tu
 
Rais hapangwi na mtu Rais huletwa na Mungu

Kwa nchi ilivyofikia 2015 Magufuli ndio alikuwa best choice

Tofauti na hapo nchi ingekuwa failed state kwa sasa

2015 Nchi ilikuwa shimoni,kongole kwa Magufuli kwa kuirejesha nchi pahala pake
Utakuwa unaumwa Mungu alete utekaji, uuaji, upotezaji watu, ufukara, umaskini wa kutupa, unanyasaji, ukiukaji wa haki za binadamu, Ukabila, ukanda, uvyama, ubambikiaji kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.
 
Rais hapangwi na mtu Rais huletwa na Mungu

Kwa nchi ilivyofikia 2015 Magufuli ndio alikuwa best choice

Tofauti na hapo nchi ingekuwa failed state kwa sasa

2015 Nchi ilikuwa shimoni,kongole kwa Magufuli kwa kuirejesha nchi pahala pake
Mafirauni huletwa na shetani
 
Ni kweli tena ukweli mchungu. Kikwete alifanya unafki kuvunjilia mbali katiba ya wananchi. Na yote hii ilikuwa ni kulinda machafu haya tunayoambiwa sasa juu ya uongozi wake. Lakini pia kuilinda chama chake ili isitenganishwe na dola. Ili kuilinda kikundi kidogo cha watawala dhidi ya wananchi.

Hawa wa sasa wako kwenye pepo ya utawala . Wanachojuà wataishi milele
 
Huu ubabe wa kuhoji hivi, mngekuwa nak huko chadema basi leo hii ingekuwa inatawala nchi na sio ccm
Mbowe kabadilisha katiba, anataka kutawala milele utafikiri hatakufa!
 
Jakaya atulie asiseme chochote yeye ni moja kati ya maraisi wabovu nchi hii atulie tu
 
Reactions: Dua
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…