macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,461
- 38,705
Kama ni kuguswa nilishaguswa kitambo kwenye tawala zilizopita. Hivyo nikiguswa ni mwendelezo tu ''kuishi dunia ya tatu'' na siyo eti ni kwa sababu ya Magufuli. Wakati wa Kikwete nilishawahi kukamatwa uzururaji na nikatoa fedha ili niachiwe japo mimi siyo mzururaji. Niliwahi kufokewa na polisi bila sababu. Huwa nafarijika ninapoona angalau Magufuli ana- take action anapoona mambo kama hayo.Ipo siku utaguswa utaelewa wenzio wanalalamikia nini juu ya huu utawala.