Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 1,888
- 4,054
Habari
Natafuta kazi yeyote ambayo nitapata kipato japo hata 10,000 kwasiku maana majukumu yamenizidi wazazi hawapo vizuri kiuchumi na mzazi wa kiume(Baba wa Familia) alifariki inanilazimu kusaidia Home kidogo masuala ya kula, shule madogo na majukumu ya hapa na pale
Kipato nachopata kidogo sana hata kwa kukutumia mimi mwenyewe na Sina mshahara ninalipwa kwa kamisheni at least mwaka jana tulikuwa tunapata kamisheni mzuri kidogo ambayo unafanya mambo yako na nyumbani unasaidia ila sasahivi kwakeli tunapata pesa ya usafiri tu na kujiunga bando kichwa kinauma nahitaji kukamilisha malengo yangu na pia nyumbani familia Hali duni sisi ndio watoto wakubwa Bimkubwa hali ngumu anatuangalia tusaidiesaidie familia kichwa mpaka kinauma.
Naomba mtu yeyote anayeweza kunipa kazi au kuniunganisha na Kazi sehemu ya at least kupata 10,000 kwasiku au 300,000 kwa Mwezi maana sasahivi changamoto kipato aisee wanaotokea familia zetu wanajua hii changamoto.
Ujuzi na Skills nilizo nazo
1)Teaching Skills
Ninaweza kufundisha secondary masomo Kama Geography na History, pia program yeyote inayohusu kufundisha.
2) Computer Basics i.e Ms Word
Ninauwezo wa kufundishika program/system zozote za taasisi au Kampuni na nikaweza kufanya kazi katika ofisi husika.
Naweza kufanya kazi yeyote nipo DSM
_________________
Ningependa uzi huu uwafikie wengi nitakuwa nafanya Door to Door (Personal) kwa kutag watu randomly ili kuonesha umuhimu wa mtu na kuonesha msisitizo wa hitaji na umuhimu
Natafuta kazi yeyote ambayo nitapata kipato japo hata 10,000 kwasiku maana majukumu yamenizidi wazazi hawapo vizuri kiuchumi na mzazi wa kiume(Baba wa Familia) alifariki inanilazimu kusaidia Home kidogo masuala ya kula, shule madogo na majukumu ya hapa na pale
Kipato nachopata kidogo sana hata kwa kukutumia mimi mwenyewe na Sina mshahara ninalipwa kwa kamisheni at least mwaka jana tulikuwa tunapata kamisheni mzuri kidogo ambayo unafanya mambo yako na nyumbani unasaidia ila sasahivi kwakeli tunapata pesa ya usafiri tu na kujiunga bando kichwa kinauma nahitaji kukamilisha malengo yangu na pia nyumbani familia Hali duni sisi ndio watoto wakubwa Bimkubwa hali ngumu anatuangalia tusaidiesaidie familia kichwa mpaka kinauma.
Naomba mtu yeyote anayeweza kunipa kazi au kuniunganisha na Kazi sehemu ya at least kupata 10,000 kwasiku au 300,000 kwa Mwezi maana sasahivi changamoto kipato aisee wanaotokea familia zetu wanajua hii changamoto.
Ujuzi na Skills nilizo nazo
1)Teaching Skills
Ninaweza kufundisha secondary masomo Kama Geography na History, pia program yeyote inayohusu kufundisha.
2) Computer Basics i.e Ms Word
Ninauwezo wa kufundishika program/system zozote za taasisi au Kampuni na nikaweza kufanya kazi katika ofisi husika.
Naweza kufanya kazi yeyote nipo DSM
_________________
Ningependa uzi huu uwafikie wengi nitakuwa nafanya Door to Door (Personal) kwa kutag watu randomly ili kuonesha umuhimu wa mtu na kuonesha msisitizo wa hitaji na umuhimu