Kuna mkulungwa mmoja kaandika Uzi mzuri Sana kuhusiana na waliopata kazi na nini wanatakiwa wafanye,ametoa mawazo mazuri Sana,ikiwemo vile vile kuepuka mikopo ktk hizi taasisi za kifedha ndogo ndogo hizi,nakushauri utafuteHabar Zenu
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukumu…Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahid sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakin mambo yanazid Kuwa magumu
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakin shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu Nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naomben mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi
Habar Zenu
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukum. Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahid sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakini mambo yanazidi kuwa magumu.
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakini shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naombeni mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi
Ukiwaendekeza ndugu hufiki kokote na mwisho wa siku wao ndio wanakuteta kwamba una kazi ila hauna maendeleo,katika mshahara tenga kiasi fulani cha kusaidia ndugu wa karibu au muhimu zaidi mfano wadogo zako wa damu ndio uwape kipaumbele au wazazi,shida zikizidi kiasi waambie hauna,kiasi kinachobaki fanya maendeleo yako binafsi.kinyume cha hapo utafanyia kazi shida za watu na hilo sio lengo maana mwisho wa siku utakuwa hujafanya kitu ktk maisha yako
Waambie wakuache ujipange kwanza,usipokua makini utaishia kusaidia watu tu.Habar Zenu
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukum. Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahid sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakini mambo yanazidi kuwa magumu.
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakini shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naombeni mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi
Kabla ya wewe kupata hicho kibarua, hayo matatizo yalikuwa wapi? Au ni nani alikuwa anayatatua?Habar Zenu
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukum. Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahid sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakini mambo yanazidi kuwa magumu.
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakini shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naombeni mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi
Nadhani wengi wa members wa hapa JF wenye kazi wanakutana na matatizo kama haya ikiwemo mimi. Tofauti yetu na wewe ni kuwa sisi hatusaidii watu kupita uwezo wetu na ndugu zetu wanapoomba msaada tunawaambia bila kupepesa macho kuwa hatuna uwezo wa kuwasaidia kwa sababu tumebeba majukumu mengi hivyo fedha hatuna. Na wala hatuji JF kulialia kuwa tunasumbuliwa na ndugu zetu kwa sababu tunajua hilo ni jambo la kawaida kwa jamii za kiafrika. Sasa wewe jitie kijogoo uendelee kujifanya una uwezo wa kusikiliza na kumfurahisha kila mtu. Kwa kifupi dawa siyo kuja kulialia hapa bali ni kuwaambia watu ukweli.Habar Zenu
Mwenzunu nimejikuta kwenye wimbi la mawazo Baada ya kuelemewa na majukum. Baada ya Kupata kibarua nimejikuta napokea simu nyingi kuhusu Matatizo ya kifamilia
Nimejitahid sana kutatua Matatizo Kwa kadri ya uwezo wangu lakini mambo yanazidi kuwa magumu.
Ukiachana na kuhudumia familia Yangu lakini shida za Ndugu zimekuwa haziishi
Zinapokaribia tarehe za mwisho wa mwezi najikuta sina raha Kabisa maana napigiwa simu nyingi za shida na kuombwa pesa tu
Naombeni mbinu ya kukabiliana na changamoto hizi