Nimeamini wa Tanzania uwezo wa kufikiri ni mdogo san.!
Naam huenda usemayo ni kweli.., sasa ili wengine tuongeze ufahamu unaweza kuniambia jukumu la hii wizara ni nini na kama kuhakikisha kuna uwepo wa chakula cha kutosha sio moja ya jukumu lao ?
Kumbuka hapa tunacheza na supply and demand na wenyewe kwa utashi wao, inteligensia yao inabidi wajue kabisa ni wakati gani supply ni kubwa ili waweze kujitayarisha wakati supply inapungua...
Bashe ni waziri makini sana tatizo vipele vingine kama akina Bashiru na mtoa mada ubongo kb.
Umakini wake unapimwa vipi ?, Bottom line ya kilimo na chakula ni nini kama sio watu kupata chakula mezani ?
Acha mahindi yafike laki plastic ili vijana waache bodaboda waende vijijin wakalime, hivi mnafahamu hiyo mwaka jana mbolea wakulima walinunua mfuko sh ngap au mnapenda vya kunyonga tu!???
Nimegundua unafikiria kwa mafungu na sio kwa ujumla wa jambo...., Okay tuseme yafike milioni mbili watu wakose chakula wengi washindwe kufanya shughuli za kila siku; vibaka wa kuiba mazao mashambani wazidi na wakulima kulala mashambani wakilinda mahindi yao..., unaona hio kama Jamii na nchi ni njia sahihi ya maendeleo ?!!!
Wakulima walinunua mbole kwa bei kubwa mwaka jana sawa hilo ni kosa la nani kama sio wizara husika ?!! Ndio maana nikasema hapa adui sio mlaji wala mtu yoyote mwenye busara hawezi kusema mkulima (mlanguzi / mfanyabiashara / dalali) asitafute bei kubwa na kupata faida kubwa iwezekanavyo bali point ni kwamba wizara inaweza kuhakikisha kuna supply ya kutosha at all times, ili kuepuka mifumoko ya bei....
Okay tusema gunia lifikie laki ili waendesha bodaboda waende wote wakalime mwaka kesho..., je demand ikiongezeka bado gunia litabakia laki moja au litashuka mpaka elfu 10 na watarudi tena mjini kuendesha boda ?!!! (Ndio maana nikasema ukipofikiri kwa mafungu bali kwa ujumla wake utaona kwamba vitu vinategemeana)
Mnafahamu hali ya mkulima daima ipoje vijijin???
Again kuhakikisha hali ya mkulima inakuwa nzuri ni jukumu la nani kama sio wizara ya Kilimo ? Hali ya mkulima ni mbaya na itaendelea kuwa mbaya hata mazao yakipanda maradufu sababu Tanzania majority sio farmers bali ni peasants....
Kwa nini bei hizi tusizifurahie zidumu ili mkulima nae anufaike ajenge nyumba ya simenti!??
Umekaa mjini huna kazi ya kueleweka nenda kijijin kalime mjini waache wafanyakazi wanaopata mshahara.
Again inaonyesha hata hukusoma ni hoja ipi ileletwa mezani...., nani kasema mkulima asipate bei kubwa iwezekanavyo ? Kwahio kwa logic yako hata wauza mafuta wapunguze supply ili bei zipande sababu ya demand ? Au na viwanda vipunguze uzalishaji wa Sukari, Cement na Vinywaji vyote ili bei ziwe nzuri zaidi ?
NARUDIA...., Wizara ikihakikisha hata supply ikiwa kubwa bado wakulima wanapata masoko (wanunuzi) na ikipungua serikali wanashusha mzigo walionunua wakati wa supply kubwa hence kupunguza mifumuko ya bei italeta predictability na fani ya Kilimo itaacha kuwa Bahati Nasibu...