.Shimbo aliteuliwa kuwa CoS wakati wa Kikwete.
Historia ya Shimbo na Kikwete ilianzia shule ya Jeshi Monduli Wakazi Lt. General Sayore akiwa mkuu wa Chuo!! Kikwete akiwa pale kama political commissar alileta fitina dhidi ya mkuu wa Chuo Sayore na alipotaka kuchukuliwa hatua za kijeshi ilibidi atoroke kwa miguu kutoka kambini na mtu aliyemsaidia kutoroka kuepuka makali ya Sayore alikua Shimbo!!!
Ndio maana mara baada ya Kikwete kuingia madarakani Lt. General Sayore aliamua kustaafu akiwa na cheo cha Chief of Staff!! Ni wakati wa utawala wa Kikwete ndio shimbo alipandishwa vyeo haraka haraka hata Kuwa Balozi huko China ambako alikua dalali wa mkwere kupiga madili ya ununuzi wa ndege za Jeshi!!!
.Hii habari ya JK kutoroka mimi siwezi kuamini. Utoro ni kosa kubwa sana kwa afisa wa jeshi
Chaibaada ya kuwakamata wanajeshi wa kukodi wengi kutoka france na south Africa jw wakaweka silaha chini wakawaambia wapigane shimbo anakuja kufika alkuta wazungu wanamanundu ya kutosha
by the way shelisheli na tanzania tunategemeana kìusalama
Ikulu gani itume incomplete kama membe?..naomba kutofautiana na wewe kidogo tu.
..lt.gen.sayore alistaafu pamoja gen.robert Mboma mwaka 2001.
..baada yao Mkapa akamteua Cdf gen.marwa waitara na Cos lt.gen.Idi Gahhu.
..kwa hiyo Kikwete alipoingia ilikuwa ni miaka kadhaa tangu lt.gen.Sayore astaafu.
..lt.gen.shimbo ameeleza walikutana vipi na JK. Ungefuatilia kwenye video ili umsikie shimbo akielezea.
..Sintofahamu iliyotokea Monduli baina ya JK na mabosi wake imeelezewa vizuri na Bernard Membe.
..JK aliokolewa na Membe, ambaye alitumwa na Ikulu kufuatilia kilichotokea Monduli, baada ya timu iliyotumwa mwanzoni kutoa ripoti ambayo ilitakiwa wasiwasi.
..Hii habari ya JK kutoroka mimi siwezi kuamini. Utoro ni kosa kubwa sana kwa afisa wa jeshi.
..naomba kutofautiana na wewe kidogo tu.
..lt.gen.sayore alistaafu pamoja gen.robert Mboma mwaka 2001.
..baada yao Mkapa akamteua Cdf gen.marwa waitara na Cos lt.gen.Idi Gahhu.
..kwa hiyo Kikwete alipoingia ilikuwa ni miaka kadhaa tangu lt.gen.Sayore astaafu.
..lt.gen.shimbo ameeleza walikutana vipi na JK. Ungefuatilia kwenye video ili umsikie shimbo akielezea.
..Sintofahamu iliyotokea Monduli baina ya JK na mabosi wake imeelezewa vizuri na Bernard Membe.
..JK aliokolewa na Membe, ambaye alitumwa na Ikulu kufuatilia kilichotokea Monduli, baada ya timu iliyotumwa mwanzoni kutoa ripoti ambayo ilitakiwa wasiwasi.
..Hii habari ya JK kutoroka mimi siwezi kuamini. Utoro ni kosa kubwa sana kwa afisa wa jeshi.
Kwa kweli hapa nashindwa kusapoti wapi. Wazungu ni waongo tu! Hakuna sehemu hata moja, hasa kwenye historia huku Africa wamesema ukweli. Kila kitu walichoandika na kukisema kuhusu Africa ni uongo tu.Umeelezea vyema katika mchango wako wa mada hii,wote tunahitaji kujua UKWELI sio kuombiwa UONGO,na hakuna tabia mbaya kama UONGO,na ni vema sisi wenyewe tukawa wakweli na always ukweli utatuweka huru;
af sasa unajua idadi ya jw walkua wangapi?Chai
za ukweli ni zipi?Kwa kweli hapa nashindwa kusapoti wapi. Wazungu ni waongo tu! Hakuna sehemu hata moja, hasa kwenye historia huku Africa wamesema ukweli. Kila kitu walichoandika na kukisema kuhusu Africa ni uongo tu.
Ila na sisi pia tumekuwa waongo sana. Tunakubali kupotosha historia yetu wenyewe Kwa manufaa ya kiutawala na ya muda mfupi. Historia ambayo bado tunafundishwa kuhusu kupigania uhuru, baba wataifa, maendeleao ya nchi, viongozi wetu hodari n.k, zote zimejaa uongo mtupu.
Uongo umekuwa mwingi sana siku hizi.
Jeshi si lelemama, kulinda nchi siyo jambo jepesi na ndiyo maana amani za nchi nyingi zimefurugika..mimi naamini jwtz walikwenda Seychelles na Comorro ili kulinda usalama wetu haswa ukanda wa bahari ya hindi.
..ukifuatilia taarifa za Zanu Pf utakutana na habari kwamba kulikuwa na meli za Tz zinazosafisha wapiganaji toka Mozambique kuja Tanzania kwa mafunzo.
..pia kuna tukio la makomando wa Afrika Kusini kufika Dsm kwa kupitia majini. Nadhani walitega mabomu.
.
naskia waltaka kulipua ikulu na walkamatwa..mimi naamini jwtz walikwenda Seychelles na Comorro ili kulinda usalama wetu haswa ukanda wa bahari ya hindi.
..ukifuatilia taarifa za Zanu Pf utakutana na habari kwamba kulikuwa na meli za Tz zinazosafisha wapiganaji toka Mozambique kuja Tanzania kwa mafunzo.
..pia kuna tukio la makomando wa Afrika Kusini kufika Dsm kwa kupitia majini. Nadhani walitega mabomu.
.
Kwamba JW waliwatoa manundu mercenaries?baada ya kuwakamata wanajeshi wa kukodi wengi kutoka france na south Africa jw wakaweka silaha chini wakawaambia wapigane shimbo anakuja kufika alkuta wazungu wanamanundu ya kutosha 😂😂😂😂😂
by the way shelisheli na tanzania tunategemeana kìusalama
true story waliwapiga ngumi kishenzi 😂😂😂😂Kwamba JW waliwatoa manundu mercenaries?
Aisee. Vijana wa JW kumbe vizuri zama na zama.true story waliwapiga ngumi kishenzi 😂😂😂😂
shimbo alkua na askari wachache sana baada ya kuzima mapinduzi askari wengi waliondoka. wiki hiohio askari waliondoka(walibaki wachache kwa ajili ya kulifundisha jesh)shimbo anasema alianza kuona viashiria kama watalii kuongezeka sana na fununu za mercenary
just imagine walkua wanafundisha jeshi la shelisheli na kufanya ulinzi(doria) hawa walkua mazombi eti
Bure kabisa paleBM is overrated
Kamandi zoteaf sasa unajua idadi ya jw walkua wangapi?