Majipu Matatu "Yaliyoiva" Kwenye Baraza la Mawaziri

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Sifa kubwa ya kiongozi wa umma ni uwajibikaji wa kisiasa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Kiongozi wa umma hata akituhumiwa tu inatosha kumpumzisha wakati ukitafuta ushahidi.

Kiongozi wa umma ni tofauti na mtumishi wa umma. Mtumishi wa umma unatafuta ushahidi kwanza ndipo unamuwajibisha, Lakini kiongozi wa umma unamuwajibisha kwanza kisiasa then ushahidi baadae.

Sifa ya Uwajibilkaji ndiyo iliyomfanya Mfalme Herode kumtimua mkewe alipotuhumiwa kuchepuka (miaka zaidi ya 2000 iliyopita). Sifa ya uwajibikaji ndiyo iliyomfanya Ali Hassan Mwinyi kujiuzulu nafasi yake ya Waziri wa mambo ya ndani baada yawafungwa kufia gerezani (japo yeye hakuhusika). Pia sifa ya uwajibikaji ndiyo iliyomfanya Ursula von der Leyen kujiuzulu nafasi yake kama Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani baada ya kutuhumiwa kucopy research yake ya PhD.

Watu wote hawa WALIWAJIBIKA kwa tuhuma tu. Hawakusubiri tuhuma hizo kudhibitishwa. Na hawakusubiri kuundwa Tume itakayosema walihusika au lah. Waliwajibika kisiasa. Uongozi wa kidemokrasia lazima ujenge mazingira mazuri ya viongozi kuwajibika hata kama ni kwa tuhuma tu.

Lakini uongozi wa Magufuli umekuwa vice-versa. Watumishi wa umma wanawajibishwa kwa tuhuma tu, lakini viongozi wa kisiasa wakituhumiwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yao.

Wapo madaktari, Walimu, Wahasibu, Na watumishi wa kada nyingine serikalini ambao wamefukuzwa kazi kwa tuhuma tu na hawakupewa nafasi ya kujitetea (contrary to the principle of natural Justice). Lakini viongozi wa kisiasa wakituhumiwa wanaachwa tu na kupeta. Hili ni doa ktk serikali ya Magufuli.

Ikiwa Magufuli ana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko nchini, basi namshauri awaondoe katika baraza lake mawaziri watatu ambao wana tuhuma nzito na hazivumiliki (serious allegetions).!

1. Sospeter MUHONGO,
Huyu ametuhumiwa kwenye kashfa ya mita za mafuta bandarini. Tuhuma zake ni nzito kwa sababu zilitolewa na Mtendaj Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo nchini Bi.Magdalena Chuwa mbele ya Waziri mkuu.

Ktk maelezo yake Chuwa alisema Waziri Muhongo alijua kuwa mita hazifanyi kazi lakini hakuchukua hayua yoyote hadi siku moja kabla ya ujio wa waziri mkuu ndipo akamtumia text kiongozi huyo wa WMA ili awashe mita hizo. Hizi ni tuhuma zinazopaswa kumuweka Muhongo pembeni kwa maslahi ya taifa.

2. JENESTA MHAGAMA,
Huyu ana tuhuma mbili. Ya Kwanza alifanya uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa NSSF kinyume na sheria maana sio jukumu lake kuteua wakuu sa mashirika ya hifadhi ya jamii. Aliingilia majukumu ya Rais. Mamlaka ya uteuzi ya wakuu wa Mashirika ya hifadhi za jamii kwa mujibu wa sheria ni Rais (Social security regulatory authority act 2008). Anaweza kuteua ikiwa tu Rais atampa ruhusa maalumu.

Pili, aliteua mtu asiye raia wa Tanzania. Dr.Carina Wangwe ni raia wa Uganda. Press release ya SSRA leo imedhibitisha kuwa Dr.Wangwe ni raia wa Uganda aliyeolewa na Mtanzania. Hivyo akaomba Uraia wa Tanzania mwaka 2001. So kwa sasa ni mtanzania.

Lakini katika nafasi nyeti kama Mkurugenzi Mkuu wa NSSF huwezi kumuweka raia wa Kuomba. Uma uhakika gani kama aliomba Uraia kwa maslahi ya nchi yake aliyozaliwa? Kwanini tumuamini kiasi cha kumpa ukuu wa NSSF? Ina maana hakuna Mtanzania wa kuzaliwa mwenye sifa hizo?

Howif kama Dr.wangwe anatumika kwa maslahi ya Uganda? Ina maana nchi hii imekosa raia wa kuzaliwa wenye kuweza kushika nafasi hiyo hadi apewe mtu mwenye uraia wa kuomba? Kuna baadhi ya nafasi ktk nchi zinapaswa kuwa za raia wa kuzaliwa tu.

Mtu amekana Uraia wa Uganda kisa kaolewa na Mtanzania. Vp kama hiyo ndoa ikivunjika akaolewa na Mjerumani si atakana uraia wa Tanzania pia? Kwa vyovyote vile Jenesta Mhagama anapaswa kupumzishwa kwa maslahi ya umma.

3. JANUARY MAKAMBA,
Huyu ametuhumiwa kufanya utapeli kwa kushirikiana na dada yake Mwamvita Makamba. Anadaiwa kumtapeli mfanyabiashara mmoja wa Italia kiasi cha dola molioni 1 sawa na Shilingi bilioni 2 na milioni 300 za kitanzania, ili amfanyie mpango wa kupata tenda ya kujenga bandari ya Bagamoyo.

Inadaiwa pia kuwa hii si mara ya kwanza kwa Makamba kufanya utapeli wa aina hii. Aliyetoa tuhuma hizo anasema January kwa kushirikiana na dada yake "wamewaliza wengi". Wengine wameamua kusema kama huyo muitaliano na wengine wameamua kukaa kimya na "kufa kiume".

Madai haya ni mazito maana yameambatanishwa na vielelezo kama email, sms na voice note ambazo mlalamikaji alikua akiwarekodi January na dada yake bila wao kujua.

Hata kama madai haya si ya kweli lakini ni LAZIMA January akae pembeni kwa maslahi ya umma. Hawezi kuendelea kuwa kiongozi huku akiwa na tuhuma kubwa kiasi hiki. Ni aibu na fedheha kwa nchi.

Mwambieni Magufuli awapumzishe hawa watatu kwa hatua za awali ili kurudisha imani yake kwa wananchi maana imeanza kupotea.

Alamsiki.!
 
Sifa kubwa ya kiongozi wa umma ni uwajibikaji wa kisiasa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Kiongozi wa umma hata akituhumiwa tu inatosha kumpumzisha wakati ukitafuta ushahidi.

Kiongozi wa umma ni tofauti na mtumishi wa umma. Mtumishi wa umma unatafuta ushahidi kwanza ndipo unamuwajibisha, Lakini kiongozi wa umma unamuwajibisha kwanza kisiasa then ushahidi baadae.

Sifa ya Uwajibilkaji ndiyo iliyomfanya Mfalme Herode kumtimua mkewe alipotuhumiwa kuchepuka (miaka zaidi ya 2000 iliyopita). Sifa ya uwajibikaji ndiyo iliyomfanya Ali Hassan Mwinyi kujiuzulu nafasi yake ya Waziri wa mambo ya ndani baada yawafungwa kufia gerezani (japo yeye hakuhusika). Pia sifa ya uwajibikaji ndiyo iliyomfanya Ursula von der Leyen kujiuzulu nafasi yake kama Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani baada ya kutuhumiwa kucopy research yake ya PhD.

Watu wote hawa WALIWAJIBIKA kwa tuhuma tu. Hawakusubiri tuhuma hizo kudhibitishwa. Na hawakusubiri kuundwa Tume itakayosema walihusika au lah. Waliwajibika kisiasa. Uongozi wa kidemokrasia lazima ujenge mazingira mazuri ya viongozi kuwajibika hata kama ni kwa tuhuma tu.

Lakini uongozi wa Magufuli umekuwa vice-versa. Watumishi wa umma wanawajibishwa kwa tuhuma tu, lakini viongozi wa kisiasa wakituhumiwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yao.

Wapo madaktari, Walimu, Wahasibu, Na watumishi wa kada nyingine serikalini ambao wamefukuzwa kazi kwa tuhuma tu na hawakupewa nafasi ya kujitetea (contrary to the principle of natural Justice). Lakini viongozi wa kisiasa wakituhumiwa wanaachwa tu na kupeta. Hili ni doa ktk serikali ya Magufuli.

Ikiwa Magufuli ana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko nchini, basi namshauri awaondoe katika baraza lake mawaziri watatu ambao wana tuhuma nzito na hazivumiliki (serious allegetions).!

1. Sospeter MUHONGO,
Huyu ametuhumiwa kwenye kashfa ya mita za mafuta bandarini. Tuhuma zake ni nzito kwa sababu zilitolewa na Mtendaj Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo nchini Bi.Magdalena Chuwa mbele ya Waziri mkuu.

Ktk maelezo yake Chuwa alisema Waziri Muhongo alijua kuwa mita hazifanyi kazi lakini hakuchukua hayua yoyote hadi siku moja kabla ya ujio wa waziri mkuu ndipo akamtumia text kiongozi huyo wa WMA ili awashe mita hizo. Hizi ni tuhuma zinazopaswa kumuweka Muhongo pembeni kwa maslahi ya taifa.

2. JENESTA MHAGAMA,
Huyu ana tuhuma mbili. Ya Kwanza alifanya uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa NSSF kinyume na sheria maana sio jukumu lake kuteua wakuu sa mashirika ya hifadhi ya jamii. Aliingilia majukumu ya Rais. Mamlaka ya uteuzi ya wakuu wa Mashirika ya hifadhi za jamii kwa mujibu wa sheria ni Rais (Social security regulatory authority act 2008). Anaweza kuteua ikiwa tu Rais atampa ruhusa maalumu.

Pili, aliteua mtu asiye raia wa Tanzania. Dr.Carina Wangwe ni raia wa Uganda. Press release ya SSRA leo imedhibitisha kuwa Dr.Wangwe ni raia wa Uganda aliyeolewa na Mtanzania. Hivyo akaomba Uraia wa Tanzania mwaka 2001. So kwa sasa ni mtanzania.

Lakini katika nafasi nyeti kama Mkurugenzi Mkuu wa NSSF huwezi kumuweka raia wa Kuomba. Uma uhakika gani kama aliomba Uraia kwa maslahi ya nchi yake aliyozaliwa? Kwanini tumuamini kiasi cha kumpa ukuu wa NSSF? Ina maana hakuna Mtanzania wa kuzaliwa mwenye sifa hizo?

Howif kama Dr.wangwe anatumika kwa maslahi ya Uganda? Ina maana nchi hii imekosa raia wa kuzaliwa wenye kuweza kushika nafasi hiyo hadi apewe mtu mwenye uraia wa kuomba? Kuna baadhi ya nafasi ktk nchi zinapaswa kuwa za raia wa kuzaliwa tu.

Mtu amekana Uraia wa Uganda kisa kaolewa na Mtanzania. Vp kama hiyo ndoa ikivunjika akaolewa na Mjerumani si atakana uraia wa Tanzania pia? Kwa vyovyote vile Jenesta Mhagama anapaswa kupumzishwa kwa maslahi ya umma.

3. JANUARY MAKAMBA,
Huyu ametuhumiwa kufanya utapeli kwa kushirikiana na dada yake Mwamvita Makamba. Anadaiwa kumtapeli mfanyabiashara mmoja wa Italia kiasi cha dola molioni 1 sawa na Shilingi bilioni 2 na milioni 300 za kitanzania, ili amfanyie mpango wa kupata tenda ya kujenga bandari ya Bagamoyo.

Inadaiwa pia kuwa hii si mara ya kwanza kwa Makamba kufanya utapeli wa aina hii. Aliyetoa tuhuma hizo anasema January kwa kushirikiana na dada yake "wamewaliza wengi". Wengine wameamua kusema kama huyo muitaliano na wengine wameamua kukaa kimya na "kufa kiume".

Madai haya ni mazito maana yameambatanishwa na vielelezo kama email, sms na voice note ambazo mlalamikaji alikua akiwarekodi January na dada yake bila wao kujua.

Hata kama madai haya si ya kweli lakini ni LAZIMA January akae pembeni kwa maslahi ya umma. Hawezi kuendelea kuwa kiongozi huku akiwa na tuhuma kubwa kiasi hiki. Ni aibu na fedheha kwa nchi.

Mwambieni Magufuli awapumzishe hawa watatu kwa hatua za awali ili kurudisha imani yake kwa wananchi maana imeanza kupotea.

Alamsiki.!
Na mfano mzuri ni Japan kiongozi akibainika kwenye kashfa ana jiuzulu au ana timuliwa na hayaishii hapo wengi wana amua kujinyonga kwa aibu.sasa hapa kwetu kujiuzulu hawataki, kujinyonga hawataki basi ni taabu tu.
 
Mkuu unajua hiki chama kikisafisha ni sawa utake kaniki kuwa nyeupe bado wapo wengi sana
 
mimi sidhani kwamba kila mtu mwanasiasa akituhumiwa ajiuzuru, inategemea hiyo tuhuma ina ukweli kiasi gani pengine yawezekana ni njama za kudhoofisha harakati zake. Ila cha msingi ni kwamba kama kuna uthibitisho basi hapo jiuzuru kabla ya kuundiwa tume hata kama kosa hujafanya muhusika, lakini limetokea kwenye wizara yako bac hapo huna jinsi kujiuzuru kama alivyofanya MWINYI...
 
h
Sifa kubwa ya kiongozi wa umma ni uwajibikaji wa kisiasa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Kiongozi wa umma hata akituhumiwa tu inatosha kumpumzisha wakati ukitafuta ushahidi.

Kiongozi wa umma ni tofauti na mtumishi wa umma. Mtumishi wa umma unatafuta ushahidi kwanza ndipo unamuwajibisha, Lakini kiongozi wa umma unamuwajibisha kwanza kisiasa then ushahidi baadae.

Sifa ya Uwajibilkaji ndiyo iliyomfanya Mfalme Herode kumtimua mkewe alipotuhumiwa kuchepuka (miaka zaidi ya 2000 iliyopita). Sifa ya uwajibikaji ndiyo iliyomfanya Ali Hassan Mwinyi kujiuzulu nafasi yake ya Waziri wa mambo ya ndani baada yawafungwa kufia gerezani (japo yeye hakuhusika). Pia sifa ya uwajibikaji ndiyo iliyomfanya Ursula von der Leyen kujiuzulu nafasi yake kama Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani baada ya kutuhumiwa kucopy research yake ya PhD.

Watu wote hawa WALIWAJIBIKA kwa tuhuma tu. Hawakusubiri tuhuma hizo kudhibitishwa. Na hawakusubiri kuundwa Tume itakayosema walihusika au lah. Waliwajibika kisiasa. Uongozi wa kidemokrasia lazima ujenge mazingira mazuri ya viongozi kuwajibika hata kama ni kwa tuhuma tu.

Lakini uongozi wa Magufuli umekuwa vice-versa. Watumishi wa umma wanawajibishwa kwa tuhuma tu, lakini viongozi wa kisiasa wakituhumiwa hakuna hatua zozote zinazochukuliwa dhidi yao.

Wapo madaktari, Walimu, Wahasibu, Na watumishi wa kada nyingine serikalini ambao wamefukuzwa kazi kwa tuhuma tu na hawakupewa nafasi ya kujitetea (contrary to the principle of natural Justice). Lakini viongozi wa kisiasa wakituhumiwa wanaachwa tu na kupeta. Hili ni doa ktk serikali ya Magufuli.

Ikiwa Magufuli ana nia ya dhati ya kuleta mabadiliko nchini, basi namshauri awaondoe katika baraza lake mawaziri watatu ambao wana tuhuma nzito na hazivumiliki (serious allegetions).!

1. Sospeter MUHONGO,
Huyu ametuhumiwa kwenye kashfa ya mita za mafuta bandarini. Tuhuma zake ni nzito kwa sababu zilitolewa na Mtendaj Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo nchini Bi.Magdalena Chuwa mbele ya Waziri mkuu.

Ktk maelezo yake Chuwa alisema Waziri Muhongo alijua kuwa mita hazifanyi kazi lakini hakuchukua hayua yoyote hadi siku moja kabla ya ujio wa waziri mkuu ndipo akamtumia text kiongozi huyo wa WMA ili awashe mita hizo. Hizi ni tuhuma zinazopaswa kumuweka Muhongo pembeni kwa maslahi ya taifa.

2. JENESTA MHAGAMA,
Huyu ana tuhuma mbili. Ya Kwanza alifanya uteuzi wa Mkurugenzi mkuu wa NSSF kinyume na sheria maana sio jukumu lake kuteua wakuu sa mashirika ya hifadhi ya jamii. Aliingilia majukumu ya Rais. Mamlaka ya uteuzi ya wakuu wa Mashirika ya hifadhi za jamii kwa mujibu wa sheria ni Rais (Social security regulatory authority act 2008). Anaweza kuteua ikiwa tu Rais atampa ruhusa maalumu.

Pili, aliteua mtu asiye raia wa Tanzania. Dr.Carina Wangwe ni raia wa Uganda. Press release ya SSRA leo imedhibitisha kuwa Dr.Wangwe ni raia wa Uganda aliyeolewa na Mtanzania. Hivyo akaomba Uraia wa Tanzania mwaka 2001. So kwa sasa ni mtanzania.

Lakini katika nafasi nyeti kama Mkurugenzi Mkuu wa NSSF huwezi kumuweka raia wa Kuomba. Uma uhakika gani kama aliomba Uraia kwa maslahi ya nchi yake aliyozaliwa? Kwanini tumuamini kiasi cha kumpa ukuu wa NSSF? Ina maana hakuna Mtanzania wa kuzaliwa mwenye sifa hizo?

Howif kama Dr.wangwe anatumika kwa maslahi ya Uganda? Ina maana nchi hii imekosa raia wa kuzaliwa wenye kuweza kushika nafasi hiyo hadi apewe mtu mwenye uraia wa kuomba? Kuna baadhi ya nafasi ktk nchi zinapaswa kuwa za raia wa kuzaliwa tu.

Mtu amekana Uraia wa Uganda kisa kaolewa na Mtanzania. Vp kama hiyo ndoa ikivunjika akaolewa na Mjerumani si atakana uraia wa Tanzania pia? Kwa vyovyote vile Jenesta Mhagama anapaswa kupumzishwa kwa maslahi ya umma.

3. JANUARY MAKAMBA,
Huyu ametuhumiwa kufanya utapeli kwa kushirikiana na dada yake Mwamvita Makamba. Anadaiwa kumtapeli mfanyabiashara mmoja wa Italia kiasi cha dola molioni 1 sawa na Shilingi bilioni 2 na milioni 300 za kitanzania, ili amfanyie mpango wa kupata tenda ya kujenga bandari ya Bagamoyo.

Inadaiwa pia kuwa hii si mara ya kwanza kwa Makamba kufanya utapeli wa aina hii. Aliyetoa tuhuma hizo anasema January kwa kushirikiana na dada yake "wamewaliza wengi". Wengine wameamua kusema kama huyo muitaliano na wengine wameamua kukaa kimya na "kufa kiume".

Madai haya ni mazito maana yameambatanishwa na vielelezo kama email, sms na voice note ambazo mlalamikaji alikua akiwarekodi January na dada yake bila wao kujua.

Hata kama madai haya si ya kweli lakini ni LAZIMA January akae pembeni kwa maslahi ya umma. Hawezi kuendelea kuwa kiongozi huku akiwa na tuhuma kubwa kiasi hiki. Ni aibu na fedheha kwa nchi.

Mwambieni Magufuli awapumzishe hawa watatu kwa hatua za awali ili kurudisha imani yake kwa wananchi maana imeanza kupotea.

Alamsiki.!
duh..yaani watu wahukumiwe kwa tuhuma ulizowatolea wewe kwenye mtandao jana? je kama wewe ni nyumbu una kisasi na hasira tu ya kushindwa uchaguzi? ngoja bana..majipu anatumbua jpm kitaalam. wewe subiri ikifika zamu yako.
 
mama mhagama yuko vizuri, makosa mengine ni ya kiibinadam, dk wangwe ni mtanzania wa kuandikishwa, halafu kama kila mtu akikosa anafukuzwa hatobaki na mtu hivyo kuathiri utendaji
kwa nini tuendelee kubaki na kiongozi asiye na maadili...speed ya JPM inawaogopesha mafisadi
 
Baraza lote ni Majipu, labda wale wazanzibar tu, ndio sio wapiga dili! wangine wote wakutumbuliwa...!
 
Back
Top Bottom