Majina ya wanaotumia cheti kimoja

Majina ya wanaotumia cheti kimoja

pecial

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
735
Reaction score
556
Habari zenu wanajamvi, naomba kwenye majina yaliyotangazwa Jana kwa wale waliotumia cheti kimoja ayatume.
 
Unaweka Uzi kwa ajili ya kutumiwa majina tu? Ili iweje?
 
wewe kama ulitumia cheti cha mtu jamaa amekupa muda hadi tar 14 ujiachishe kazi vinginevyo subiria miaka saba jela!
we boya kweli?? wenzako wanakula kiboga?? Inamana MTU akitaka kujua jambo na yeye yumo
 
Better post: 20996763 said:
Unaweka Uzi kwa ajili ya kutumiwa majina tu? Ili iweje?
kama huna pita kule sio lazima ucomment usilete usengerema hapa
 
Back
Top Bottom