Majina ya waliochaguliwa MUHAS

Majina ya waliochaguliwa MUHAS

Acha upuuzi sijui kichwa chako umekiandikaje,,,,,, kama huna taarifa kamili ka kimya sio kulopoka2 thread yako ionekane
 
Uliza swali kwenye heading sio unaandika kama ndounatoa taarifa
 
moderators tafadhali sana,

huyu mtu amezidi upuuzi usiovumilika kabisa, na sio mara yake ya kwanza kuanzisha vinyuzi vya kijinga na vya mzaha mzaha katika mambo nyeti.

hii tabia ni chronic na ya kipumbavu.

tunaomba sana huyu mtu mumuondoshe kabisa hata life ban arudi huko facebook kwa wendawazimu wenzake.
 
acha dharau ndugu nimeuliza nataka kujua,ikiwezekana nipate wenzangu wa Muhas
wewe ni mtu wa hovyo sana,

kulikuwa na ulazima gani wa kuandika heading ya kijinga vile, tena ukaendelea zaidi ukaandika content yenye swali.

sio mara yako ya kwanza naona unaandika vitu vya mzaha mzaha.

kama ulifeli necta si basi imetosha, kuna ulazima gani wa wewe kujitutumua.
 
Back
Top Bottom