MWILI NYUMBA JF-Expert Member Jun 18, 2012 817 255 Aug 20, 2012 #21 Mbona hawajaandika kozi ambazo hao watu wamekuwa admitted?Naona majina tu yamepangwa kwa alphabet au chuo kinatoa kozi ya aina moja tu?
Mbona hawajaandika kozi ambazo hao watu wamekuwa admitted?Naona majina tu yamepangwa kwa alphabet au chuo kinatoa kozi ya aina moja tu?
M MAKAH JF-Expert Member Sep 27, 2010 1,582 265 Aug 20, 2012 #23 MWILI NYUMBA said: Mbona hawajaandika kozi ambazo hao watu wamekuwa admitted?Naona majina tu yamepangwa kwa alphabet au chuo kinatoa kozi ya aina moja tu? Click to expand... Ni kweli mkuu - inaonyesha chuo hakina uzoefu katika kuhabarisha - orodha iko mithili ya prose!!!
MWILI NYUMBA said: Mbona hawajaandika kozi ambazo hao watu wamekuwa admitted?Naona majina tu yamepangwa kwa alphabet au chuo kinatoa kozi ya aina moja tu? Click to expand... Ni kweli mkuu - inaonyesha chuo hakina uzoefu katika kuhabarisha - orodha iko mithili ya prose!!!
QUALIFIED JF-Expert Member Jun 13, 2012 773 112 Aug 20, 2012 #24 pitbull said: Nimechaguliwa nipongezeni basi! Click to expand... hongera mkuu
Kurzweil JF-Expert Member May 25, 2011 6,622 8,397 Aug 20, 2012 #25 pitbull said: Nimechaguliwa nipongezeni basi! Click to expand... Ha ha ha hah kumbe na wewe mkuu? Hongera sana kumbe mko wengi eeeh!
pitbull said: Nimechaguliwa nipongezeni basi! Click to expand... Ha ha ha hah kumbe na wewe mkuu? Hongera sana kumbe mko wengi eeeh!
QUALIFIED JF-Expert Member Jun 13, 2012 773 112 Aug 20, 2012 #26 EARPHONE said: Mm nimechaguliwa hapo... Click to expand... coz gan mkuu
EARPHONE JF-Expert Member Jul 15, 2012 355 66 Aug 21, 2012 #27 QUALIFIED said: coz gan mkuu Click to expand... Ni Bachelor of arts with education
QUALIFIED JF-Expert Member Jun 13, 2012 773 112 Aug 21, 2012 #28 EARPHONE said: Ni Bachelor of arts with education Click to expand... hongera mkuu naona na possibility ya kupata mkopo ipo
EARPHONE said: Ni Bachelor of arts with education Click to expand... hongera mkuu naona na possibility ya kupata mkopo ipo