GE2025 Majina ya wagombea udiwani wilaya ya Kaliua-Tabora

GE2025 Majina ya wagombea udiwani wilaya ya Kaliua-Tabora

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Katibu wa Siasa na uenezi Ccm mkoa wa Tabora Iddi Moshi Mambo ametaja orodha ya majina ya watia nia wa udiwani wilaya ya Kaliua mkoani Tabora.

Mambo, ameeleza kuwa majina hayo yamepitishwa na Chama cha mapinduzi CCM kwa ajili ya Wajumbe wa Chama hicho ngazi ya kata kuwapigia kura na kumchagua mmoja kuwa Mgombea wa Udiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.


 
Back
Top Bottom