brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Shule ya msingi Madenge ipo temeke mtaa wa yombo
KudadekiHa ha haaaa.. Mkuu. Kuna shule inaitwa shoga kahama huko, nyingine mpigamiti lindi huko, nyingine inaitwa senge singida, nyingine inaitwa mkunwa..
Duu! Hii bila shaka siyo Tanzania
Hapo kuanzia Headmaster hadi mfagizi wote hawana marinda.