Ndio maana nikasema kuna maelezo tofauti kuhusu asili ya hao viumbe.Malaika alivyoumba nature yake hawez kuasi hana Option hiyo Jinn ni kiumbe kingine,Malaika ni kiumbe kingine na mtu ni kitu kingine...Mtu kaumbwa kwa udongo,Malaika kaumbwa kwa Nuru na Jinni kaumbwa kwa miale ya Moto...Kasomen surat rahman Allha ameelezea uumbaji wa wa hivyo viumbe
Huyo ,zein zein nimhuni sana anabadili majina san sindo huyu kwasasa anaitwa eatel, mwehu kabisa
Kuhusu kuwatoa majibu kanisani,si utapeli...Mashetani aka Majini aka Mapepo yapo yameumbwa na Mungu kama tulivyoumbwa sisi Binaadamu.
Mungu kaumba MALAIKA, MAJINI na BINAADAMU ili wamuabudu tu, na sio chengine, na viumbe wasiomuabudu Mungu amewaekea adhabu kali
Marehemu Bibi yangu alikuwa hajui kusoma wala kuandika,lakini pale Shetani aka pepo anapokuwa amepanda kichwani kwake alikuwa anaweza kuongea kiarabu fasaha kabisa..
Marehemu Baba alikuwa ana uwezo wa kumwita jini wa Bibi, alipokuwa anamwita familia nzima inatakiwa wepo, Alikuwa ni jini wa famili, chakula chake kulikuwa, Asali, muwa, manda
Yule juni alikuwa anatusalimia kwa kutuzungusha shingo, kutunyoosha mkono huku Akisema "zein, zein", baba alikuwa anamwita jini wa Bibi pale anapokuwa anataka msaada wa kitu fulani..
Jini wa Bibi alikuwa na Uwezo mkubwa Sana, jina lake lilikuwa sio la kiarabu bali ni la kiswahili wa pwani, siku moja nilimsikia akisema wapi anatoka na yeye ni nani
Nilimsikia akisema yeye ni Mkuu wa Majini katoka sehemu fulani Pemba, vile vile alikuwa anawakilisha sehemu kubwa ya ufukwe wa Afrika Mashariki yaani, Mambasa, Unguja, Pemba, Kilwa..
Sitaki kutaja jina la huyu jini, kwakweli alikuwa na Uwezo wa ajabu Sana, uwezo wakuona na kutabiri, mambo mengi sana Alikuwa na Uwezo wa kuwaadhibu Majini wengine nk..
Haya mambo yapo, nimeyashuhudia mwenyewe, hivi viumbe vimeumbwa na Mungu,..
Yale tunayoyaona Makanisani ni "usanii", "utapeli",..huwezi kumtoa jini kwa kumpiga kelele, Majini wana vyakula vyao, wana njia zao za kuwaita na wana njia zao za kuwatoa,nimeyaona haya nikiwa na umri mdogo mpaka umri wa kumaliza Chuo
Tunatakiwa tujue kuwa hivi viumbe, ni kama sisi Binaadamu, wako wabaya na Wazuri, wako wanaomcha Mungu na wanaomuasi Mungu, lakini Wengi wao ni wa ha Mungu, wanaishi maisha marefu kuliko binaadamu
Mashetani aka Majini aka Mapepo yapo yameumbwa na Mungu kama tulivyoumbwa sisi Binaadamu.
Mungu kaumba MALAIKA, MAJINI na BINAADAMU ili wamuabudu tu, na sio chengine, na viumbe wasiomuabudu Mungu amewaekea adhabu kali
Marehemu Bibi yangu alikuwa hajui kusoma wala kuandika,lakini pale Shetani aka pepo anapokuwa amepanda kichwani kwake alikuwa anaweza kuongea kiarabu fasaha kabisa..
Marehemu Baba alikuwa ana uwezo wa kumwita jini wa Bibi, alipokuwa anamwita familia nzima inatakiwa wepo, Alikuwa ni jini wa famili, chakula chake kulikuwa, Asali, muwa, manda
Yule juni alikuwa anatusalimia kwa kutuzungusha shingo, kutunyoosha mkono huku Akisema "zein, zein", baba alikuwa anamwita jini wa Bibi pale anapokuwa anataka msaada wa kitu fulani..
Jini wa Bibi alikuwa na Uwezo mkubwa Sana, jina lake lilikuwa sio la kiarabu bali ni la kiswahili wa pwani, siku moja nilimsikia akisema wapi anatoka na yeye ni nani
Nilimsikia akisema yeye ni Mkuu wa Majini katoka sehemu fulani Pemba, vile vile alikuwa anawakilisha sehemu kubwa ya ufukwe wa Afrika Mashariki yaani, Mambasa, Unguja, Pemba, Kilwa..
Sitaki kutaja jina la huyu jini, kwakweli alikuwa na Uwezo wa ajabu Sana, uwezo wakuona na kutabiri, mambo mengi sana Alikuwa na Uwezo wa kuwaadhibu Majini wengine nk..
Haya mambo yapo, nimeyashuhudia mwenyewe, hivi viumbe vimeumbwa na Mungu,..
Yale tunayoyaona Makanisani ni "usanii", "utapeli",..huwezi kumtoa jini kwa kumpiga kelele, Majini wana vyakula vyao, wana njia zao za kuwaita na wana njia zao za kuwatoa,nimeyaona haya nikiwa na umri mdogo mpaka umri wa kumaliza Chuo
Tunatakiwa tujue kuwa hivi viumbe, ni kama sisi Binaadamu, wako wabaya na Wazuri, wako wanaomcha Mungu na wanaomuasi Mungu, lakini Wengi wao ni wa ha Mungu, wanaishi maisha marefu kuliko binaadamu
Mashetani aka Majini aka Mapepo yapo yameumbwa na Mungu kama tulivyoumbwa sisi Binaadamu.
Mungu kaumba MALAIKA, MAJINI na BINAADAMU ili wamuabudu tu, na sio chengine, na viumbe wasiomuabudu Mungu amewaekea adhabu kali
Marehemu Bibi yangu alikuwa hajui kusoma wala kuandika,lakini pale Shetani aka pepo anapokuwa amepanda kichwani kwake alikuwa anaweza kuongea kiarabu fasaha kabisa..
Marehemu Baba alikuwa ana uwezo wa kumwita jini wa Bibi, alipokuwa anamwita familia nzima inatakiwa wepo, Alikuwa ni jini wa famili, chakula chake kulikuwa, Asali, muwa, manda
Yule juni alikuwa anatusalimia kwa kutuzungusha shingo, kutunyoosha mkono huku Akisema "zein, zein", baba alikuwa anamwita jini wa Bibi pale anapokuwa anataka msaada wa kitu fulani..
Jini wa Bibi alikuwa na Uwezo mkubwa Sana, jina lake lilikuwa sio la kiarabu bali ni la kiswahili wa pwani, siku moja nilimsikia akisema wapi anatoka na yeye ni nani
Nilimsikia akisema yeye ni Mkuu wa Majini katoka sehemu fulani Pemba, vile vile alikuwa anawakilisha sehemu kubwa ya ufukwe wa Afrika Mashariki yaani, Mambasa, Unguja, Pemba, Kilwa..
Sitaki kutaja jina la huyu jini, kwakweli alikuwa na Uwezo wa ajabu Sana, uwezo wakuona na kutabiri, mambo mengi sana Alikuwa na Uwezo wa kuwaadhibu Majini wengine nk..
Haya mambo yapo, nimeyashuhudia mwenyewe, hivi viumbe vimeumbwa na Mungu,..
Yale tunayoyaona Makanisani ni "usanii", "utapeli",..huwezi kumtoa jini kwa kumpiga kelele, Majini wana vyakula vyao, wana njia zao za kuwaita na wana njia zao za kuwatoa,nimeyaona haya nikiwa na umri mdogo mpaka umri wa kumaliza Chuo
Tunatakiwa tujue kuwa hivi viumbe, ni kama sisi Binaadamu, wako wabaya na Wazuri, wako wanaomcha Mungu na wanaomuasi Mungu, lakini Wengi wao ni wa ha Mungu, wanaishi maisha marefu kuliko binaadamu
Kuna kulitoa na kulifanya liondoke kwa muda huo,kwa sababu yapo mafuta ambayo ukimnusisha mtu mwenye jini hilo jini hukimbia kwa muda huo ila baadaye hurudi kama kawaida.Kuhusu kuwatoa majibu kanisani,si utapeli...
I did that myself,mara nyingi sana,tena kwa uwezo wa kukushika tu..na hilo dude chafu likatoka.
Yeah ni kweli,linaweza kwenda na kurudi kabisa..Kuna kulitoa na kulifanya liondoke kwa muda huo,kwa sababu yapo mafuta ambayo ukimnusisha mtu mwenye jini hilo jini hukimbia kwa muda huo ila baadaye hurudi kama kawaida.
Sawa, lakini ukweli ni huo, huwezi kumtoa au kumfukuza kiumbe chenye uwezo kuliko Binaadamu, kiumbe kilichomsaliti Mungu, kwa kumpiga kelele, "kwa jina la Yesu, toka, toka...." inabidi ujiongeze kidogoKwa issue ya Kanisani kuweza kuhakikisha kuwa walio Kanisani wana uwezo wa kutoa mapepo au kufukuza majini, nakushauri ufanye kitu rahisi tu kama hivi: ondoka na jini wako kama unaye, halafu nenda ukawaambie kuwa wewe una jini, au mchukue mtu ambaye wewe una uhakika kabisa kuwa ana pepo halafu mpeleke Kanisani. Ni kitu frahisi sana kuweza kuhakikisha, badala ya kulalama bila kuwa na ushahidi wowote! Nakushauri tafadhali ufanye hivyo!
How?! By shouting in the the name of Jesus... Get out!???Kuhusu kuwatoa majibu kanisani,si utapeli...
I did that myself,mara nyingi sana,tena kwa uwezo wa kukushika tu..na hilo dude chafu likatoka.
Hapana "ZEIN ZEIN", Alikuwa anakusudia salama salama au hamjambo...Huyo ,zein zein nimhuni sana anabadili majina san sindo huyu kwasasa anaitwa eatel, mwehu kabisa
Not only that,even by the touch,or whispering...there are many ways mkuuHow?! By shouting in the the name of Jesus... Get out!???
Bado sijakuelewa. Kwanini hutaki kumtaja jina? (Swali linabaki pale pale kwanini majini ya majina ya Kiarabu?).\Mashetani aka Majini aka Mapepo yapo yameumbwa na Mungu kama tulivyoumbwa sisi Binaadamu.
Mungu kaumba MALAIKA, MAJINI na BINAADAMU ili wamuabudu tu, na sio chengine, na viumbe wasiomuabudu Mungu amewaekea adhabu kali
Nilimsikia akisema yeye ni Mkuu wa Majini katoka sehemu fulani Pemba, vile vile alikuwa anawakilisha sehemu kubwa ya ufukwe wa Afrika Mashariki yaani, Mambasa, Unguja, Pemba, Kilwa..
Sitaki kutaja jina la huyu jini,
.Pamoja na kuwepo kwa usanii mwingi siku hiz kwenye makanisa mbali mbali lakini ninaamini kuwa yapo majiin/ mapepo na wengine wakiita mashetani
Ninaamini hivyo kwasababu nikiwa mdogo, kulikuwa na 'dada' zangu waliokuwa wanasumbuliwa na hayo 'mapepo' na hivyo nilijiridhisha kuwa hakukuwa na 'usanii' pale.
Nimeeleza hayo kwasababu nina swali limenitatiza kwamba wakati wa maombezi kwa hao 'dada' zangu kuna wakati muombaji alikuwa anaongea na hayo 'mapepo' na kuuliza majina yao. (Kwa wenye imani ya kikristo wananielewa hapa) mara zoote ckuwahi kuckia wakijitambulisha kwa majina ya 'kikristo' kama vile Thomas, peter, jeska , mary n.k badala yake nilisikia majina ya 'kiislam' kama juma, Asha, Sharif, n.k. wakati waliokuwa wakiombewa ni wakristo.
Kwahiyo swali langu kwako JF MEMBER je wewe uliwahi kuskia majina yenye nasaba na 'ukristo' kutoka kwa ''mapepo?"
Pia kwa wale wasio amini ikiwa mungu yupo wanazungumza nini kuhusu haya "mapepo"
Hakuna kitu kinatokea tokea hewani kila kitu kinasababu zake. Umeandika lakini sijajua kama hizo sentensi zako umezielewaIsikusumbue ndugu,ni sawa tu na kukuta mbwa kapewa jina kama, Maurice, john nk.
Haimaanishi kuwa hao mbwa nao ni wakristo ni majina tu.
Mkuu unajua kwanini hayo majini huwaingia watu?Yeah ni kweli,linaweza kwenda na kurudi kabisa..
Kwa jina tu la YESU linakimbia kabisa linatokomea
Ndio maana nikasema yapo mafuta ambayo ukimnusisha mwenye majini basi huyo jini hutoka na unaweza kukaripia kwa kumuudhi kama mfano wa kusema "toka kwa jina la Yesu" hata ukisema toka kwa jina la Jamiiforum yeye hutoka tu kwa sababu ya hayo mafuta.Not only that,even by the touch,or whispering...there are many ways mkuu
Majini walikuwepo kabla ya waarabu na hiyo dini ya kiarabu,halafu habari za kuhusu majini zipo duniani kote sasa sidhani ukienda china au ulaya nako utakuta wanajua majina ya majini haya ambayo huku tunayajua hata huko kwa waarabu hilo jina la jini Maimuna sijui kama wanalijua.Hakuna kitu kinatokea tokea hewani kila kitu kinasababu zake. Umeandika lakini sijajua kama hizo sentensi zako umezielewa
1. Hao mbwa wanapewa majina ya kikiristo sababu wanaishi na wakristo lakini mbwa siyo wakristo lakini wanauhusiano na wanakristo yaani wanaishi na watu wakristo.
2. Tukirudi kwenye mada, inaonesha majini wanaabudu kwenye dini ya kiarabu ndiyo maana lugha, majina na mavazi yanaendana na jamii ya kiarabu
3. Dini ya Kiarabu inasema "Mungu kaumba majini. Wapo majini wanaomubudu Allah, na wapo wasiomuabudu na pia kuna majini azuri na wabaya. Kwa wakristo ndiyo wanakubali kuwa Mungu kawaumba majini lakini hakuna jini linalomuabudu Mungu kwasababu ni malaika walioasi pamoja na shetani. Kiufupi hakuna jini mzuri au mbaya wote ni wabaya. Kwa sentensi yenu bado kuna uwalakini.
Soma vitabu vya Solomon(Suleiman) ni Mtume peke yake aliepewa Uwezo wa kuzungumza na kuongea na Majini pamoja na Wanyama,..Bado sijakuelewa. Kwanini hutaki kumtaja jina? (Swali linabaki pale pale kwanini majini ya majina ya Kiarabu?).\
Na kwanini majini yanatoka sehemu ambazo kuna waislamu wengi kama Pemba, Unguja, Mombasa na Uarabuni?
Kwa imani yangu hakuna majini wanaomwabudu Mungu kwasabb hao ni malaika walioasi pamoja na shetani. Ndiyo wameumbwa lakini ni malaika walioasi na hakuna jini mzuri OVER.