ngokuro
Senior Member
- Mar 15, 2017
- 118
- 98
Pamoja na kuwepo kwa usanii mwingi siku hiz kwenye makanisa mbali mbali lakini ninaamini kuwa yapo majiin/ mapepo na wengine wakiita mashetani
Ninaamini hivyo kwasababu nikiwa mdogo, kulikuwa na 'dada' zangu waliokuwa wanasumbuliwa na hayo 'mapepo' na hivyo nilijiridhisha kuwa hakukuwa na 'usanii' pale.
Nimeeleza hayo kwasababu nina swali limenitatiza kwamba wakati wa maombezi kwa hao 'dada' zangu kuna wakati muombaji alikuwa anaongea na hayo 'mapepo' na kuuliza majina yao. (Kwa wenye imani ya kikristo wananielewa hapa) mara zoote ckuwahi kuckia wakijitambulisha kwa majina ya 'kikristo' kama vile Thomas, peter, jeska , mary n.k badala yake nilisikia majina ya 'kiislam' kama juma, Asha, Sharif, n.k. wakati waliokuwa wakiombewa ni wakristo.
Kwahiyo swali langu kwako JF MEMBER je wewe uliwahi kuskia majina yenye nasaba na 'ukristo' kutoka kwa ''mapepo?"
Pia kwa wale wasio amini ikiwa mungu yupo wanazungumza nini kuhusu haya "mapepo"
Ninaamini hivyo kwasababu nikiwa mdogo, kulikuwa na 'dada' zangu waliokuwa wanasumbuliwa na hayo 'mapepo' na hivyo nilijiridhisha kuwa hakukuwa na 'usanii' pale.
Nimeeleza hayo kwasababu nina swali limenitatiza kwamba wakati wa maombezi kwa hao 'dada' zangu kuna wakati muombaji alikuwa anaongea na hayo 'mapepo' na kuuliza majina yao. (Kwa wenye imani ya kikristo wananielewa hapa) mara zoote ckuwahi kuckia wakijitambulisha kwa majina ya 'kikristo' kama vile Thomas, peter, jeska , mary n.k badala yake nilisikia majina ya 'kiislam' kama juma, Asha, Sharif, n.k. wakati waliokuwa wakiombewa ni wakristo.
Kwahiyo swali langu kwako JF MEMBER je wewe uliwahi kuskia majina yenye nasaba na 'ukristo' kutoka kwa ''mapepo?"
Pia kwa wale wasio amini ikiwa mungu yupo wanazungumza nini kuhusu haya "mapepo"