Majina ya Kihaya ya kike

Kokwijuka,Mutongole,Kokuberwa,Kanule,Kokubanza,Kokunywegera,Kemilembe,Kabanza,Mukatanagi,Genyana,Mukanyiginya,Katangi,Kokuangalira,Kokukushubira,Sima,Mukaire,Mamerita,Kanule,Mbandwa,Kashubi,Shubira,Ngonzi,Byera,Kanweri, eh kazi kwako ndugu.
 
Kokwijuka,Mutongole,Kokuberwa,Kanule,Kokubanza,Kokunywegera,Kemilembe,Kabanza,Mukatanagi,Genyana,Mukanyiginya,Katangi,Kokuangalira,Kokukushubira,Sima,Mukaire,Mamerita,Kanule,Mbandwa,Kashubi,Shubira,Ngonzi,Byera,Kanweri, eh kazi kwako ndugu.
Duuh, inatosha kaka...
 
Utakuwa akili haina akili kama unategemea jina kutoka JF kwani majina ya watoto hutokana na na matukio au kitu kinachofanana na hapo!
 
Kwani KOKU maana yake nini? Maana nimeona ndio kianzilishi cha majina mengi... ila majina ni mazuri nimeyapenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…