Majina ya biashara/business name

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
JINA LA BIASHARA

Jina la biashara ni kitu muhimu sana, na kuna watu wanaamini kwamba mtu hujieleza kupitia jina lake, Na kuna vitabu vingi sana vimechapishwa na vinavyo elezea maana ya kila Jina.
Na katika biashara ni kitu muhimu sana kutumia jina katika biashara yako

SIFA ZA JINA ZURI LA BIASHARA

FUPI

Jina la biashara ni vizuri likawa fupi ili kufanya mteja awe rahisi kulitamka na kulikumbuka, ingawa hapa kuna exceptional fulani

Lazima liwe lahisi kutamkwa
Jina la biashara ni vizuri likawa rahisi kutamkwa na kila mtu hata ambaye hajasoma au hajaenda shule basi aweze kulitamka kwa urahisi kabisa

LINALO JIELEZA LENYEWE/LIELEZE UNACHO FANYA
Jina la biashara ni bora likawa lina jieleza lenyewe kabisa yaani haihitaji mtu kuanza kuuliza tena kwamba hii kampuni inafanya kazai gain,
Mfano: T. Book publishing- Hili linajieleza kabisa

LIWE LA KIPEKEE/UNIQUE
Kwa hii dunia ya ushindani mkubwa sana branding inachukua nafasi kubwa sana, so ni lazima jina lako la biashara liwe la kipekee katika secta uliyomo wewe
Vilevile kuna faida unayo weza kuipata kwa kuchagua jina linalo karibia na jina la strong bland name iliyoko sokoni
mfano: Blueband ni brand kubwa sana hapa East Africa so unaweza buni jina lako la Blueban,
- Maji ya kilimanajaro ni brand kubwa, wewe waweza anza na Kilimanjar Drinking woter


HII INAKUSAIDIA KUSHARE BRAND AWERENESS AMBAYO TIYALI IKO SOKONI KWA MUDA MREFU SANA.

Mfano mzuri ni simu za kichina.

JINA LINALOWEZA KUKUBUKWA KWA URAHISI SANA

LINALO ENDANA NA WAKATI
Jina la biashara yako ni vizuri likaendana na wakati tulionao kwa sasa

KUWA MAKINI KATIKA KUTIMIA JINA LAKO MWENYEWE
Kuna faida na hasara za kutumia jinalako kama jina la kampuni/biashara, madhara yake yanakuja pale unapo taka kuuza kampuni yako au kuongeza madirecta katika kampuni. Mfano kampuni yako inaitwa JUMA COMPANY LTD, Hapa ukitaka kuuza hii kampuni itakuwia vigumu sana na hata ukitaka kuongeza share golders,

HAPA NAPO KUNA EXCEPTIONAL,


2. AINA YA MAJINA YA BIASHARA YANAYO TUMIKA SANA

Personal Name
Kutumia jina lako biafisi kama jina la kampun I ni aina ya kwanza ya majina ya biashara,
MFANO: · McDonalds

· Bakheresa

Mkono and Company


Descriptive Business Name/Majina yanayo jieleza
Haya mara nyingi hufanya rahisi sana kwa wateja kuweza kujua hii kampuni inafanya shughuli gain,
MFANO: Internatinal Business Machine (IBM)
Kenya air way
Kilimanjaro Bus Service

COMBINE BUSINESS NAME
Haya ni majina yanayo jumuisha Descriptive anaPersonal Names Hii inasaidia kutumia Personal touch na hapo hapo unaeleza kampuni yako inafanya kazi gain.
MFANO: Mkono Advocate (Nimrod Mkono)
Ford Motor Company (Henry Ford)
Dell Computer (Michael Dell

BRANDABLE BUSINESS NAME
Jina lolote la kampuni linaweza kuwa Brand Name
Mfano: Google
NIKE

AMAZON
MICROSOFT
Mara nying Brandable Name yanakuwa na popula Fulani,
Mfano: Je google ingekuwa na umalufu huo kama ingeitwa serch engine company?
HAYA KWA KITALAMU HUITWA MAJINA YASIYO KUWA NA MAANA YOYOTE ILE(Nonsense)
NIKE- Haina maana yoyote ile
Ila kumbuka kwamba kujenga Brand Name inachukua muda mrefu sana na pesa za kutosha
 
mkuu

naona unachanganya changanya company names na product brand names

mfano: coca cola company wanna products brands za cocacola, fanta, sprite, sparletta, crest etc

now which is which?
 
mkuu

naona unachanganya changanya company names na product brand names

mfano: coca cola company wanna products brands za cocacola, fanta, sprite, sparletta, crest etc

now which is which?

Yote ni sawa, kwani Google ni nini? Si ni kampuni? na sina Brand? Jina la lampuni linaweza kuwa Brand name mkuu hakuna nilicho changanya hapo/
 
Brand Name haimanishi Product peke yake, vilevile ina jumisha manufacture au producer, mfano mwingine ni TOYOTA hii ni Product na ni manufacture yaani kampuni inayo tengeneza magari ya TOYOTA inaitwa TOTOTA
 
KOMANDOO

There is a clear distinction between companies and brand names. please accept this fact as a mere common sense
 
mkuu ni kweli kuna tofauti kati ya kampuni na brand name ila kuna baadhi ya makapuni majina yao ndo hayo hayo yamekuwa barand name, nimetoa mfano wa TOYOTA, hii ni kampuni inayo tengeneza magari na vilevile ni brand name,

KWA Cocacola na makampuni mengine ni sawa

Ila na wewe kubali kwamba Brand name haimanishi Product pekee yake bali pia, manufacture,
 
Hajakosea hata kidogo company name inaweza kuwa Brand name, ila brand name sio lazima iwe company name. Labda tu niseme kuwa Nike ina maana
The company takes its name from Nike (Greek Νίκη, pronounced [nǐːkɛː]), the Greek goddess of victory.

Pia Google pia inatokana na neno googl ambayo ni namba 10,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000.
 
Hajakosea hata kidogo company name inaweza kuwa Brand name, ila brand name sio lazima iwe company name. Labda tu niseme kuwa Nike ina maana


Pia Google pia inatokana na neno googl ambayo ni namba 10,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000,*000.

Yapu ni kweli kama unavyo eleza mkuu
 
thanks kwa maelezo mazuri, kuan siku nilimshauri kaka mmoja achange jina la kampuni yake, yaani jina gumu kutamka hata mtu uliesoma huwezi kupronounce vizuri etc ye alilidefend saaana eti we hujui tu maana yake jina hili linamaana kubwa saana ni vifupi vya majina ya mtoto wangu, mie mwenyewe mke wangu na mama yangu-aliniacha hoi kwa kicheko! maana brand name pia inatakiwa iangalie na target audience wako ni wakina nani i.e vijana, wazee, wanawake etc..na unatakiwa kulipretest pia kabla halijaenda sokoni.
 
thanks kwa maelezo mazuri, kuan siku nilimshauri kaka mmoja achange jina la kampuni yake, yaani jina gumu kutamka hata mtu uliesoma huwezi kupronounce vizuri etc ye alilidefend saaana eti we hujui tu maana yake jina hili linamaana kubwa saana ni vifupi vya majina ya mtoto wangu, mie mwenyewe mke wangu na mama yangu-aliniacha hoi kwa kicheko! maana brand name pia inatakiwa iangalie na target audience wako ni wakina nani i.e vijana, wazee, wanawake etc..na unatakiwa kulipretest pia kabla halijaenda sokoni.

Ni kweli, jina la Biashara ni lazima liwe rahisi kutamkwa na hata kukumbukwa, mambo ya kuweka vifupisho vya sijui Mke na mtoto hayana maana kabisa, na mara nyingi Business names ni vizuri ikaendana na kile unacho fanya inakuwa inapendeza sana, labda kama unataka kutengeneza Brandble business names,
 
thanks kwa maelezo mazuri, kuan siku nilimshauri kaka mmoja achange jina la kampuni yake, yaani jina gumu kutamka hata mtu uliesoma huwezi kupronounce vizuri etc ye alilidefend saaana eti we hujui tu maana yake jina hili linamaana kubwa saana ni vifupi vya majina ya mtoto wangu, mie mwenyewe mke wangu na mama yangu-aliniacha hoi kwa kicheko! maana brand name pia inatakiwa iangalie na target audience wako ni wakina nani i.e vijana, wazee, wanawake etc..na unatakiwa kulipretest pia kabla halijaenda sokoni.
Ni sawa kabisa
 
Back
Top Bottom