maeneo ya eapoti hayo,,,,dah ukiitaja chako ni chako nakumbuka dodoma,,,,ila pembeni kuna mtukwao guest haous,,,,,
ukienda area c kuna kwa mpepo,,,then maeneo ya makole kuna OMAX BAR,MACHAME BAR,CLUB LA-AZIZ,THEN EQUATOR BAR EAPOT,KIRAENI,MIAMI BAR EAPOT,
yani ilikuwa baada ya kazi jioni lazima tupitie hapo na kila nikifika dodoma lazima niende chako ni chako kuku wetu wa kienyeji na dompo wine. acha kabisa
sister.Hiyo chako ni chako bar ina tazamana na satarday bar.
Huwa zina wachanganya watu maarufu sasa ni sat bar lakini watu wanaita chako ni chako bar.
sister.Hiyo chako ni chako bar ina tazamana na satarday bar.
Huwa zina wachanganya watu maarufu sasa ni sat bar lakini watu wanaita chako ni chako bar.