Kwani tangu Uhuru liko chini ya mbunge huyu? Kwahiyo jimbo la Manyoni limeendelea sana na Mtera vivyo hivyo, Great Thinkers andikeni vitu vya maana na msipende kuwasemea watu wengine .Kwa hiyo majimbo mengine yanayoendelea yako chini ya nani?
tawire! mimi mmojawapo kutoka singida mashariki, Makiungu....shule imepanda kisawasawa. Huyu mtoa maada anajidhalilisha kwa chuki zake kwa mh Lissu, jimbo letu liko vizuri sana. Niseme ni jimbo ambalo kwa sasa linajielewa sana; watu wanatambua haki zao. hii ni baada ya hili jimbo kukombolewa na TL; alifanya kazi kubwa ya kueneza elimu ya uraiaNikujibu tu wewe mtoa hoja. Hili jimbo kila kata ina shule 2 za sekondari.Pamoja na hujuma lakini sgd mashariki ndiyo inaongoza kwa makusanyo ya kodi. Kwa taarifa hili jimbo lina watoto wenye akili zaidi singida maana ndilo linaloongoza kitaaluma kwa mkoa wa singida,miaka mitatu sasa mfululizo majimbo mengine hayafikii ufaulu wa watoto wa East singida. Kama haitoshi ndilo jimbo pekee kanda ya kati lililo na wasomi wengi.
Kwa miaka 50 Tanzania inaongozwa na chama gani?Wadau habarini,
Miongoni mwa waliofanya makosa ya Kidemokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ni wapiga kura wa Jimbo ya Singida Mashariki.
Ukweli Jimbo hili hadi leo bado lipo chini sana Kiuchumi ukilinganisha na Majimbo mengine.
Jimbo hilo linakabiliwa na changamoto kadha zikiwemo ukosefu wa huduma muhimu za Jamii.
Changamoto hizi kiukweli zimeendelea kuwepo pamoja na ahadi nyingi walizopewa wakazi hao kwa nyakati mbalimbali.
Wakati umefika sasa kwa wakazi hao kuamka mapema kwa kujiandaa ili muda muafaka utakapofika mfanye maamuzi sahihi ya kidemokrasia na kufuta makosa mliyofanya hapo awali.
Mnaweza tu kuondokana na hali halisi mliyonayo kwa kufanya maamuzi sahihi kwa kuzingatia ubora wa chaguo lenu badala ya kuchagua kiushabiki.
Msikate tamaa ila msifanye makosa tena.
Aksanteni.
Hiyo si ndo iliyofeli!Ndiyo maana mlitaka kumuua labda muapply plan D ya magongoni
Hata mganga ana nafuuutakuwa mganga wa kienyeji ww so bure.
Kumbe Lisu amekufa?Kwa hiyo kwa sababu huwezi kushindana na Mh.Lissu jukwaani ndiyo ukaamua umuuwe ili uchukue jimbo kiulaini?...