MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,200
Ndugu wanaJF katika uchunguzi wangu nimegundua majimbo yafuatayo yako hoi kwa vile wabunge wake ni dhaifu:
1. Iringa Mjini
2. Mbeya Mjini
3. Arusha
4. Ubungo
5. Kawe
6. Ilemela
7.Nyamagana
8. HAI
Imefika hatua wananchi wanajuta kuwapa kura waheshimiwa husika ambao wameweka mbele matumbo yao kuliko kuwatumikia wapiga kura. Inaonekana hawa waheshimiwa WANAJUWA HAWATAPATA KURA 2015 HIVYO WAMEAMUA KUTENGENEZA MAISHA YAO TU
1. Iringa Mjini
2. Mbeya Mjini
3. Arusha
4. Ubungo
5. Kawe
6. Ilemela
7.Nyamagana
8. HAI
Imefika hatua wananchi wanajuta kuwapa kura waheshimiwa husika ambao wameweka mbele matumbo yao kuliko kuwatumikia wapiga kura. Inaonekana hawa waheshimiwa WANAJUWA HAWATAPATA KURA 2015 HIVYO WAMEAMUA KUTENGENEZA MAISHA YAO TU