Majimbo haya yapo hoi

Majimbo haya yapo hoi

Mafilili, Wacha uongo, Mimi nilikuwa Hai last week nimeona maendeleo kushinda Lindi Mnji na Vijijini.
Unaweza kufananisha jimbo ata moja kati ya aya na Njombe, Mpanda na Lindi?
come back with strong topic usidhani apa watu wanapoteza muda.
Mimi Nimetokea Ubungo na Nimezaliwa Ubungo, ili jimbo kwa sasa linafanya vizuri kuliko wakati ule wa akina Masumbuko na Keenja
utatuambia nini wewe wacha uoongo.

Safi sana! Hili Zumbukuku halina hoja bali ni udaku tu ndo limejaliwa nao,threads nyingine zipimwe kwanza pale milembe.
 
Kweli wewe MAFILILI ni MFILWA. Akili kidogo uliyonayo umehamishia kwny saburi la kushoto. Unatupostia vitu vya ajabu ajabu hapa hueleweki umepost tumbo ama kiwiliwili. Jipange upya urudi na singo nyingine. Hii haiuziki, umelamba ghalasha baaabu.
 
Ndugu wanaJF katika uchunguzi wangu nimegundua majimbo yafuatayo yako hoi kwa vile wabunge wake ni dhaifu:
1. Iringa Mjini
2. Mbeya Mjini
3. Arusha
4. Ubungo
5. Kawe
6. Ilemela
7.Nyamagana
8. HAI
Imefika hatua wananchi wanajuta kuwapa kura waheshimiwa husika ambao wameweka mbele matumbo yao kuliko kuwatumikia wapiga kura. Inaonekana hawa waheshimiwa WANAJUWA HAWATAPATA KURA 2015 HIVYO WAMEAMUA KUTENGENEZA MAISHA YAO TU



Akili za matope kabisa
 
"MAFILILI" Kikwetu ni mtu anaye-Cameroniwa au bwabwa! Inawezekana na wewe huwa jamaa wanakushughulikia! Utalinganisha majimbo hayo na Shy mjini, Busega, Simanjiro, Msalala, Sumve, Kwimba, Buyungu na mengine mengi ya CCM? Hebu angalia majimbo yote ya Tabora! Nyambaf.. kenge mkubwa wewe! Jamani juzi nilikuwa Terrat na Longido, majimbo haya yako taabani namshangaa Ole Sendeka kwenda kudanganya wana-Arumeru kuwa apewe Sioi wakashirikiane kuleta maendeleo!
 
Kipindi kile yupo Madarakani, rais Mkapa alialikwa kwenye mkutano wa watu na wazee wa Kilimanjaro pale Diamond Jubilee.
katika hotuba na maombi yao kwa rais wazee wale walimuomba rais afanye kila awezalo kuhakikisha majimbo yaliyo chini ya upinzani mkoani mwao yanarudi mikononi mwa CCM kwani wanajiona kama wanatawaliwa na wakoloni na hivyo kujiona wapweke sana.
Katika majibu yake kwao, Mkapa aliwaambia, wapinzani hawakujipachia wenyewe huko bali walichaguliwa kihalali na wananchi katika uchaguzi halali. Akaendelea kwa kuwaeleza kuwa si sahihi kwa wao kujiona wapo chini ya wakoloni kwani Tanzania ilipata uhuru wake mwaka 1961, hivyo ni nchi huru.
Pia akawahakikishia kuwa serikali inashirikiana vizuri na kwa karibu na wapinzani hao na akawakumbusha kuwa wao kama wananchi wa maeneo husika wana wajibu wa kushirikiana na viongozi katika shughuli za kujipatia maendeleo.
 
Back
Top Bottom