hapa kuna lile jamaa ndo litapita wanaliita Gama
Yaani wachafuzi wa lugha mnanikera.. ukijua tofauti ya L na R ndo nitakujibu..
Kuanzia saa 11 jioni tayari yatakuwa yameshatangazwa kuwa UKAWA ndio wameshinda:
1. Ubungo
2. Kibamba
3. Kawe
4. Segerea
5. Karatu
6. Arusha Mjini
7. Mwanza mjini
8. Singida Mashariki
9. Hai
10. Moshi Mjini
11. Iringa Mjini
12. Mbeya Mjini
13. Ukonga
14. Mikumi
Ongezea unayoyafahamu...
WEWE KWELI MKIWA na VILOBA VINAKUSUMBUA...MWANZA MJINI NDIO JIMBO GANI HILO......
Atakuwa anamaanisha Nyamagana na Ilemela.mwanza mjini ndio wapi?
Wete
Chake
Majimbo yote ya Pemba
Unguja malindi
Mtoni
Nungwi
Bumbini
Chukwani
Hata Kyela Dr Mwakyembe anapumulia mashine.mbona mmeisahau mbozi jamani?
majimbo yote matatu ccm wanapumlia milija.
Ubungo, Kawe na Kibamba SAHAU hampati!
Arusha Mjini uchaguzi umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa ACT
Mwanza Mjini hakuna jimbo kama hilo ni Ilemela na Nyamagana.
mwanza mjini ndio wapi?
Hata Kyela Dr Mwakyembe anapumulia mashine.
Hilo amelikiri mwenyewe jana katika kituo 'chao' cha StarTV jana usiku katika kipindi cha mahojiano maalum na mtangazaji Yusufu Kamote.