Hata mchwa na ndege wamejenga....hapa tunazungumzia hip hop halisi,hata isha mashauzi amejenga lakini huwezi kumjumuisha na kalapina au jay mo kama wana hip hop.
Ndo kasababisha ugomvi wa teamxxl clouds juu ya hayo majigambo yake ndan ya miaka 6 ya mziki nyumba 3 gari za kifahali na mkwanja mrefu adam akawageuka wenzie kwenye i dia ya biashara ya fiesta mwaka huu majuzi kwenye xxl
Hata mchwa na ndege wamejenga....hapa tunazungumzia hip hop halisi,hata isha mashauzi amejenga lakini huwezi kumjumuisha na kalapina au jay mo kama wana hip hop.