Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

WAZIWAZI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
1,815
Reaction score
1,576
"Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani, tukasema tupo tayari kuunganisha Nguvu ya pamoja kwa ajili kuiondoa CCM wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM.

Wananchi watambue tuna nia ya dhati lakini wenzetu wanaweka ugomvi binafsi mbele ya maslahi ya Taifa. Sisi ACT wazalendo bado tupo taayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi"

By Zitto kabwe kupitia Twiter
 
Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?
 
Aunganishe nguvu na Mwigulu, mara Lowassa na bado anataka UKAWA tena ? aamue moja anataka kufanya kazi na nani , si juzi tuu kamwalika LOWASA kwenye saccos yake ?
mkuu kwani kumualika mtu awe mwanachama ni makosa? suala akubali kutangaza mali zake na madeni basi. na akubaliane na katiba ya kizalendo kuilinda , unakalibishwa maana hata wazambi mbele ya Mungu wana nafasi ya kutubu iweje kati yetu wanadamu?
 
Watanzania hatuna chuki binafsi na Zito bali tuna chuki kubwa kwa yale aliyotufanyia. Mengi yamesemwa juu yake lakini hajawahi kuyajibu kwa vielelezo. Hajawahi kueleza kwa ukamilifu hela aliyokuwa akiipokea toka CCM (kwa kupitia maofisa wa TISS) ilikuwa ya nini? Hajawaeleza Watanzania ukaribu wake mkubwa na mawasiliano yake na maofisa wa juu wa TISS yamekuwa yanahusu nini hasa. Mawasiliano na maofisa wa TISS yalioneshwa kwa vilelezo, na hasa yalikuwa wakati wa kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi.

Leo anapotaka kushirikiana na UKAWA, Watanzania watakuwa na uhakika gani kuwa nia yake kubwa siyo kutaka kujua mipango na mbinu za UKAWA kwa manufaa ya wale ambao amekuwa akiwatumikia siku zote, CCM?
mkuu hapa jukwaani sio pahara pa kupiga porojo, mambo haya ni vema ukawasiliana na mhalili wa TANZANIA DAIMA kesho itakuwa front page.
 
mkuu kwani kumualika mtu awe mwanachama ni makosa? suala akubali kutangaza mali zake na madeni basi. na akubaliane na katiba ya kizalendo kuilinda , unakalibishwa maana hata wazambi mbele ya Mungu wana nafasi ya kutubu iweje kati yetu wanadamu?

Kama kualika fisadi kwenye chama sio makosa , basi hicho chama ni kukaa mbali nacho.......unaalika mtu ambaye hata mafisadi wenyewe hawamtaki ?
 
yani tunakaa naye kwenye vikao vya ndani tunapanga mbinu za kumkabili adui yetu, yeye anatoka hapo anapeleka taarifa na mbinu zetu kwa adui.
huyu Traitor ni wa kuaminika jamani??
 
Ngoja waje Bavicha na virob vyao,ndo mida yao hii subiri tu uone,Tena usiombee wanywe Gongo we subiri tu
 
Aisee Zitto ana akili nyingi zingekuwa zinagawiwa ninge muomba ampimie kilo moja Mnyika na Mbowe wagawane!

Kijana yuko makini na ni mzalendo wa kweli...
 
Ngoja waje Bavicha na virob vyao,ndo mida yao hii subiri tu uone,Tena usiombee wanywe Gongo we subiri tu

Afande Sele ana cheo kikubwa kuliko msafiri Mtemelwa kwenye ACT ? mbona ndio anapanda majukwaani wakati mwenezi wa Taifa akiwa hapewi nafasi ? au kiongozi mkuu anaamua nani apande jukwaani na nani abakie chini?
 
Uhusiano wa Ztto, usalama wa Taifa, Chama cha mapinduzi na viongozi waandamizi serikalini hauwezi kuuponesha Ukawa. Si sahihi Act kujiunga Ukawa vinginevyo tumekubaliana kuipalilia ccm madarakani.
 
Aisee Zitto ana akili nyingi zingekuwa zinagawiwa ninge muomba ampimie kilo moja Mnyika na Mbowe wagawane!

Kijana yuko makini na ni mzalendo wa kweli...

Vp Nape, Mwigulu, Makonda, Shonza, January et al... vijana wenzako wa CCM huwaoni??
 
Kama kualika fisadi kwenye chama sio makosa , basi hicho chama ni kukaa mbali nacho.......unaalika mtu ambaye hata mafisadi wenyewe hawamtaki ?
unaweza kuniambia tofauti ya kosa la LOWASSA(Richmond) na kosa la PINDA(ESCROW) kama umenielewa utajua kwa nini mkulima alisalimika, na kuanzia hapo utakuwa umepevuka hutamuita tena EL fisadi.

Tuache porojo tutafute watu wenye uwezo bnafsi.
 
Back
Top Bottom